Ngo ngo ngo, hodi wenyeji

Start-Menu

Member
Joined
Sep 10, 2023
Posts
14
Reaction score
66
Nimeingia kwenye mji huu wa kidijitali ila kabla hata siku haijaisha nimeona ni uungwana kuwasalimu kwanza wenyeji.

Nimekuwa ni msomaji wa muda mrefu wa jamiiforums katika majukwaa kadhaa ila nimeamua rasmi niingie kwenye ngoma nipate uhondo zaidi kuliko kuwa mtazamaji / msomaji.

Mnipe baraka zenu wenyeji wa huu mji na ninaomba ushirikiano wenu.
 
Karibu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT ufaidi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…