ngo ngo ngo napiga hodi

ngo ngo ngo napiga hodi

hart

Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
22
Reaction score
5
Habari zenu wana jf najisikia amani kuwa member wa jf! Pamoja
 
Globu kazi inaelekea kukushinda, mgeni kakaa getini muda wote huo ndo unamkaribisha saizi...!?? angalia watu8 atakabidhiwa ubawabu, BTW karibu mgeni
 
Last edited by a moderator:
Humu wengne wenyeji wanazngua tu na akaunti kibao
 
shukrani wote kwa kunikaribisha wakuu:smiling: :wave:
 
Globu kazi inaelekea kukushinda, mgeni kakaa getini muda wote huo ndo unamkaribisha saizi...!?? angalia watu8 atakabidhiwa ubawabu, BTW karibu mgeni

Mkuu Baba V majukumu yamekuwa mengi.

Hahaha...
Hata hivyo wakaribishaji wamekuwa wa kumwaga recently, tunashirikiana kwa pamoja...hata wageni wamejoin hiki kikosi kazi
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom