NGO REGISTRATION: I need your help!!!!!!@#$

Pasco_jr_ngumi

JF-Expert Member
Joined
Nov 20, 2010
Posts
1,802
Reaction score
283
Wakubwa shikamooni,
naomba msaada wenu wa namna ya ku-register NGO ambayo nimeianzisha. Naomba kujua ofsi gani inahusika kwenda kuiandikisha serikalini, documents zinazohitajika, n.k.

ni matumaini yangu nitaweza kusaidiwa katika hili wKuuu.

wasalaaam,
Pasco jr.
 
Kama ni ya nchi nzima nenda qwizara ya mambo ya ndani. Na kama ni CBO yaani iko wilayani kwako tu nenda kwa afisa maendeleo ya jamii wa wilaya ukitaka ushauri zaidi nipigie simu 0755394701 au nipm
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…