[emoji125][emoji125][emoji125]Tumepata mwalim wa hesabu hapa hapa.
Subiri mwalim wetu wa hesabu aje na hapa.Niwekeeni category yangu, baba mmoja, mama wa tano, watoto watano
Vipi tena mkuu..[emoji125][emoji125][emoji125]
ngoja nifate notesVipi tena mkuu..
Ok, nakusubiri maana nitaelemewa na maswali magumu,.. Kusoma kwenyewe sikusoma.ngoja nifate notes
Ahahhaha najua na wewe upo CHiyo C haijaelezwa kama ni stage ya mahusiano au ya ndoa mkiwa bado hamjapata mtoto...
Sasa hapo inahitaji ufafanuzi kwanza.
Unataka nisijipendekeze tena kwako?
Single maza unatudanganya,hakuna group la single maza hapo![emoji28][emoji28][emoji28]
Konyo. Ko wewe unanijua sana eeh? Sikuona group langu ndo maana nimechagua pa kujiweka nyau weeSingle maza unatudanganya,hakuna group la single maza hapo![emoji28][emoji28][emoji28]
[emoji28][emoji28][emoji28].....Nakujua kwa undani kama nimekuzaa vile!Konyo. Ko wewe unanijua sana eeh? Sikuona group langu ndo maana nimechagua pa kujiweka nyau wee
Punguza munkari utakosa pombe kali wewe heee.Konyo. Ko wewe unanijua sana eeh? Sikuona group langu ndo maana nimechagua pa kujiweka nyau wee
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji28][emoji28].....Nakujua kwa undani kama nimekuzaa vile!
Ananizingua huyu sema tunajuana ndo maana nimemjibu hivyoPunguza munkari utakosa pombe kali wewe heee.