Ngoja niwahabarishe mambo kadhaa usiyo yajua katika ujenzi PART 2

Ngoja niwahabarishe mambo kadhaa usiyo yajua katika ujenzi PART 2

greater than

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2018
Posts
1,653
Reaction score
3,060
1. Mbao inaweza kufanya kazi sawa kama nondo au/chuma.
Unabisha....?
-Magorofa magofu ya Bagamoyo,zege zake zina mbao badala ya nondo.

2.Kadri jengo utakavyojenga karibu na bahari,ndipo unapunguza uwezo wa jengo kudumu mda mrefu.
Unabisha....?
-bati za nyumba za Dar nyingi zina kutu kuliko za Bara.

3.Chanzo kikuu cha Ongezeko la joto ndani ya Jengo ni Paa..60% ya joto upitia kwenye paa
Unabisha....?
-Nenda kwa rafiki yako ambaye Nyumba/chumba hakina Dari usikilizie joto lake.

4.Sakafu ya mbao ni nzuri zaidi kwenye maeneo yenye baridi, ila ina gharama kuliko aina karibia zote za matilio za sakafu.
Unabisha.....?
Ulizia bei za mbao za mitiki, ambazo hutumika kwenye floor

5.Dirisha la Mbao ni ngumu kupata joto lakini rahisi kuungua moto...
Unabisha.....?
Ndiyo maana hakunaga mwiko wa chuma

Una shida yoyote kwenye jengo na unahitaji ukaguzi na ushauri...kuwa huru kunitafuta....
Gharama ni za usafiri tu
 
1. Mbao inaweza kufanya kazi sawa kama nondo au/chuma.
Unabisha....?
-Magorofa magofu ya Bagamoyo,zege zake zina mbao badala ya nondo.

2.Kadri jengo utakavyojenga karibu na bahari,ndipo unapunguza uwezo wa jengo kudumu mda mrefu.
Unabisha....?
-bati za nyumba za Dar nyingi zina kutu kuliko za Bara.

3.Chanzo kikuu cha Ongezeko la joto ndani ya Jengo ni Paa..60% ya joto upitia kwenye paa
Unabisha....?
-Nenda kwa rafiki yako ambaye Nyumba/chumba hakina Dari usikilizie joto lake.

4.Sakafu ya mbao ni nzuri zaidi kwenye maeneo yenye baridi, ila ina gharama kuliko aina karibia zote za matilio za sakafu.
Unabisha.....?
Ulizia bei za mbao za mitiki, ambazo hutumika kwenye floor

5.Dirisha la Mbao ni ngumu kupata joto lakini rahisi kuungua moto...
Unabisha.....?
Ndiyo maana hakunaga mwiko wa chuma
Ungeendela kidogo ndugu yangu, una hoja nzuri sana.
Mbao kwenye ujenzi nakuunga mkono maana mimi ni mdau wa mbao, ila gharama za mbao zina kuja juu mno.
 
Ungeendela kidogo ndugu yangu, una hoja nzuri sana.
Mbao kwenye ujenzi nakuunga mkono maana mimi ni mdau wa mbao, ila gharama za mbao zina kuja juu mno.
Mwisho wa mwezi wa 4,nitaandika Makala itakayohusu mbao katika ujenzi...
Ila kwasasa unaweza jifunza zaidi kwenye Makala zangu nyingine...
Soma

 
6.Matofali ya Kuchoma ,yana himili zaidi joto na moto kuliko matofali ya kawaida...
-kwa kiwango sawa cha unene wa ukuta.

7.Size/Urefu wa Kipenyo cha matawi ya mti ushabihana na urefu wa mizizi yake
faida yake?
Ukitaka kupanda mti,pima urefu wa tawi refu la mti mkubwa aina hiyo, ndiyo iwe umbali wa kupanda kutoka kwenye kuta zako

8.Nyumba/Jengo linapokuwa na kuna, uimara huongezeka...
Unabisha...
-Wewe bisha tu.

9.Aina ya udongo kwenye kiwanja chako, utaijua baada sentimita 10 ya udongo wa juu unaokanyaga ukiwa unatembea...
Faida yake.
-Siyo kwakuwa umeona mchanga juu ya ardhi ndiyo ukadhani aina ya udongo hapo ni kichanga

10.Zege na Tofali kamwe haviachi kunyonya maji/Unyevu ila kinachopungua ni kasi ya kunyonya maji.
 
Tofali za kuchoma Dar zapatikana wapi? Tuwekee contacts please
 
Back
Top Bottom