Selected by gods
Senior Member
- Dec 23, 2022
- 140
- 321
Sio papai, ni Fenesi.Ati unaitwa mtoto papai
Hahahah naingoja hio 40 kwani ukiangalia zimebakia ngapi nianze tizi kabisa π yasije kunikuta ya Manyuu na livakukuKwani me napepesa macho sasa...
40 yako inakuja
Daah π°Unapita nae, kwani mwamba wa zenji ilikuaje??
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
π€£π€£π€£ππW
Wazee mbona hawapiti huku??
Mnooooo!!Wasiogope tunawapenda sana sanaππππππ
Ukiwa huna hela mwanaume makende hayana faida yoyote ni kuwa mpole tuu na kupiga puchu ya mlenda vugu vuguπ€£π€£π€£π€£π€£
Umekuwa mnyoongeee
Mtaolewa tuu msijali wapo wanaume wanaangalia moyo na sio sura wala churaSisi wenye sura mbovu na shepu za akina ashaboko sijui itakuwaje
ππππππVile watu wanakaushiana na hawapeani support
Wanapatikania wapi jamaniπMtaolewa tuu msijali wapo wanaume wanaangalia moyo na sio sura wala chura
ππππ yaanKwa kweli huu ni mtego Sana,Watu wanaogopana.
Kuna mtu namsubiri alike Kisha nizame pm. We mtu mwenye avatar ya hijab si ulike basi hii comment alafu tukamalizane huko chemba!?
Kanisani. Huku jf tupo sie wapenda vyura na suraWanapatikania wapi jamaniπ
My wangu we ngoja kuna mtu akilike tuuuu aah wee hata sogea tuishi naendaNaangalia wanaokulike
Ole wako huu mwaka uishe bila bila
πππKanisani. Huku jf tupo sie wapenda vyura na sura