Mkuu binti akisoma id kuwa wewe ni Caotain halafu mtata unategemea nini kama sio kujihami?Duuuuuh
Kuna ambao tumeshatukanwa DM hebu tukae kimya
Aaah kama usipochaguliwa unajizuru baasi weww ni dhaifuπ€£
Ata ngie mnatutesa sana sie ambao hatuna hela na tuna vibamia...Mnatutesa sana nyie watuπ
ππ itabidi nije na ID ingineMkuu binti akisoma id kuwa wewe ni Caotain halafu mtata unategemea nini kama sio kujihami?
Mimi binafsi jf naichukulia kama kijiwe cha kahawa.Najishtukia tu Mkuu
Fanya ubatizo tuπππ itabidi nije na ID ingine
KabisaMimi binafsi jf naichukulia kama kijiwe cha kahawa.
Hata wanijie pm wangapi nachukulia poa tu.
Ni maamuzi yangu kujibu au kupotezea.
Nakuonaga unajihami mnooππ
Kuchange id wanafanyaje πFanya ubatizo tuπ
Nikija nitakuelekeza mamaKuchange id wanafanyaje π