Dole la kati hilo mkuu unakua unatukana ujue😀🤔😳😔🤮🖕
🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽Vijana wa hovyo...utawajua tu!!!
Comment Emoji zako tano za mwisho....sio kwa ubaya lakini..kuna kitu
Wenzako wanataka wajue
Naanza mimi
[emoji23][emoji125][emoji2957][emoji3][emoji512]
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂 Broo leo naona una kiu ya ban🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽🖕🏽
Usilitaje hilo neno, Mod ataenifanya hivyo hajipendi atakula za kichwa😂😂 Broo leo naona una kiu ya ban
Na hii 🖕🏽🤝🏾🤝🏾🤝🏾
Hii huwa napenda kumaliza nayo conv hasa nikiona mtu anataka kuendeleza chatting hali ya kuwa tumeshaelewana.
🤣🤣Usilitaje hilo neno, Mod ataenifanya hivyo hajipendi atakula za kichwa
Mkuu mimi nimeshavuka hiyo age nahesabu miezi kuingia 40 wote ninaowasiliana nao kupitia maandishi either wana cha kujifunza kutoka kwangu (madogo) au tunalingana umri so ni vigumu kufikia kuwekeana vitu kama hivi.Na hii 🖕🏽
Well said saint🙌🙌Mkuu mimi nimeshavuka hiyo age nahesabu miezi kuingia 40 wote ninaowasiliana nao kupitia maandishi either wana cha kujifunza kutoka kwangu (madogo) au tunalingana umri so ni vigumu kufikia kuwekeana vitu kama hivi.
Ili utumie emoj kama hiyo lazima kuna mtu mnaefanana akili kama hamna hauwezi mtu ukaitumia.
Huyo mtu amekaa kigomvi ugomvi sana. Pole sanaMkuu mimi nimeshavuka hiyo age nahesabu miezi kuingia 40 wote ninaowasiliana nao kupitia maandishi either wana cha kujifunza kutoka kwangu (madogo) au tunalingana umri so ni vigumu kufikia kuwekeana vitu kama hivi.
Ili utumie emoj kama hiyo lazima kuna mtu mnaefanana akili kama hamna hauwezi mtu ukaitumia.
Keshàpigwa ban tayari 😂Huyo mtu amekaa kigomvi ugomvi sana. Pole sana
Ameshapumzishwa na mods.Huyo mtu amekaa kigomvi ugomvi sana. Pole sana