Huyo wako ni Haruna MoshiKuna siku nmekutana nae England Manchester City street 11 kwenye restaurant jamaa ni mtu wakujichanganya sana wadau walipiga nae selfie za kutosha, hana majivuno ndiyo maana anapendwa na wengi
Tena undergroundSio hizi treni za TRL kuna kuna vitu vya umeme
HahaaaMwana yuko peace sana. Kuna kipindi nilikutana nae Nyamagana nikapiga nae selfie za kutosha tu.
hahaaa[emoji3] [emoji3] Boss, huyo ni Mwinyi Kazimoto, usichanganye.
kabisaa" wote hawana makuu ila kante amepitilizaKante ni kama Messi hana majigambo
achana nae huyo mjini kaja janaTena inapita chini ya maji. na ndo oldest underwater railway... ulikuwa hujui??????
Fyaaaaab kitu kimepita chato baada ya dakika 7Tena underground
Haaaah! Haaaah! Haaaah! Haaaah! Haaaah! Haaaah!Fyaaaaab kitu kimepita chato baada ya dakika 7
Unataka kukosoa,unashangaa,au unauliza,ili ujibiwe kulingana na swali lkoivi kumbe kutoka london hadi paris unaweza kwenda na treni ahahahahah
messi kuna wakati hupanga kikosi utatuharibia mada akina ronaldo wakija.Kante ni kama Messi hana majigambo
Hahahaha.....huyu kuna siku watamsahau changing room au airportKwa wasiomfahamu tu!View attachment 881090
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hahahaha.....huyu kuna siku watamsahau changing room au airport
Kikosi cha nn?messi kuna wakati hupanga kikosi utatuharibia mada akina ronaldo wakija.
cha barca kwa kushauri fulani anunuliwe na fulani asinunuliwe.Kikosi cha nn?