Ngolo Kante: Mimi ni binadamu kama binadamu wengine Sina uspecial wowote msinikuze

Ngolo Kante: Mimi ni binadamu kama binadamu wengine Sina uspecial wowote msinikuze

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Ngolo Kante ameamua kuwajibu watu baada ya kuwa wakisema yeye ni humble kuliko watu wote namnukuu "Ni kweli kuna muda mwingine huwa kuna hii picha kwamba mimi ni mtu wa pekee sana na mtu mzuri sana"


"Lakini mwisho wa siku mimi ni mtu wa kawaida.Mchezaji ambaye nipo na wachezaji wengine.Hakuna haja yakusema mimi ni mtu mzuri sana na mwenye tabia nzuri Sana.Mimi ni mchezaji wa kawaida kama wengine kuna muda mwingine naona kama sifa zimezidi Sana,haitakiwi kuwa hivyo.


"Ni kweli Napenda kupatana na wachezaji wenzangu, ili kutengeneza uhusiano mzuri na kuwa na mahusiano mazuri na wale watu naokutana nao nikiwa mtaani au kwenye soka"


"Lakini tofauti na hapo, kuna watu wengi kwenye soka wapo kama mimi,Hatutakiwi kutengeneza kana kwamba kitu Cha ajabu Sana au kubwa Sana"
 
"..Sawa.." Ilisikika sauti ya K.De bruyne
 
Guardiola aliwauzia lile kombe wacha kelele, Man City gani inapiga one short on target the whole 90 minutes game ya UCL Final, aliwapa kikosi dhaifu mjidai nacho.
Aibu ya Guardiola
 
Ngolo Kante ameamua kuwajibu watu baada ya kuwa wakisema yeye ni humble kuliko watu wote namnukuu "Ni kweli kuna muda mwingine huwa kuna hii picha kwamba mimi ni mtu wa pekee sana na mtu mzuri sana"


"Lakini mwisho wa siku mimi ni mtu wa kawaida.Mchezaji ambaye nipo na wachezaji wengine.Hakuna haja yakusema mimi ni mtu mzuri sana na mwenye tabia nzuri Sana.Mimi ni mchezaji wa kawaida kama wengine kuna muda mwingine naona kama sifa zimezidi Sana,haitakiwi kuwa hivyo.


"Ni kweli Napenda kupatana na wachezaji wenzangu, ili kutengeneza uhusiano mzuri na kuwa na mahusiano mazuri na wale watu naokutana nao nikiwa mtaani au kwenye soka"


"Lakini tofauti na hapo, kuna watu wengi kwenye soka wapo kama mimi,Hatutakiwi kutengeneza kana kwamba kitu Cha ajabu Sana au kubwa Sana"
Mkuu usihofu, wewe nenda kaolewe naye tu...yeye ni mtu wa kawaida sana na hana makuu.
 
Guardiola aliwauzia lile kombe wacha kelele, Man City gani inapiga one short on target the whole 90 minutes game ya UCL Final, aliwapa kikosi dhaifu mjidai nacho.
Kwahiyo ulitaka apange kikosi gani? Ili ww ulidhike kwamba ni kikosi hatari?
 
Back
Top Bottom