Ngoma atakuwa kama Niyonzima dimbani

Kama pia waliingia Simba Kwa sherehe na hoihoi za mashabiki halafu wakaondoka kihuni hawatabaki salama pia. Hii ni kanuni kaka sio kwa wachezaji tu bali hata kwa wanasiasa, maharusi, wafanyakazi, nk
Mbona Kessi na Ajibu, waliondoka kwa nyodo nyiingii lakini kusema ukweli, na msema ukweli ni mpenzi wa Mungu, wamecheza kwa mafanikio Yanga fc.
 
Umemsahau Kavumbagu
 
Kuna mgodi wa hela Tanzania. Niyonzima alikuwa the highest paid player lakini hakucheza mechi ya ligi hata moja. Kuna kila dalili itajirudia tena.
Donald Ngoma huenda ikawa hivyo hivyo. Mechi mbili tatu msimu mzima lakini anavuta mpunga wake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…