donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,128
- 21,885
Iliyofanya vizuri sijui, ila ipo ninayoipenda tuSalam wakuu,
As today it's the beginning of second phase of the year, unahisi ni ngoma gani kali ya hip-hop (Tanzania) iliyofanya vizuri kupita ngoma zote kuanzia January mpaka June?
Ipi hiyoIliyofanya vizuri sijui, ila ipo ninayoipenda tu
Jamaa yangu unapenda sana new gen rappersTill I die remix by con boi
Grind all day by conboi
Born to win by young killer
Killer nae ni new gen ??Jamaa yangu unapenda sana new gen rappers
Killer nae ni new gen ??,Jamaa yangu unapenda sana new gen rappers
Young killer sio mkongwe kivile ndiomaana nimemlist as a new gen rapperKiller nae ni new gen ??,
[emoji117]Sio kwa ubaya by fa
Naomba ngoma Kali katika hiyo album niitafute. Maana jamaa kidogo nimemsahau saivi mwendo wa kumsikiliza Black MaradonaKwa upande wa mainstream hakuna ngoma ya hiphop inayofanya/iliyofanya vizuri (kwa mtazamo/vigezo vyangu) ila Kwa upande wa Handakini huku nimeisikiliza Album ya Nikki mbishi Katiba Mpya nimeielewa, Ngoma nyingi Nikki ameandika kwa kutulia ukilinganisha na Album yake iliyopita ya Welcome to Gamboshi.
View attachment 2677086
Uzi wa wavuta msuba
NakaziaTRIBULATION.
Watanganyika wadanganyika, CAG wa mtaaNaomba ngoma Kali katika hiyo album niitafute. Maana jamaa kidogo nimemsahau saivi mwendo wa kumsikiliza Black Maradona