Mhhh....kwa kweli Wazaramo mnastahili sifa...Hongereni.
Lakini me nna swali, hivi kuchezwa kunamfanya binti awe na tofauti gani haswa na sista du? What I mean to say is this: Kama ni mapishi, kwa kweli mwanamke yoyote anaweza kuwa mpishi mzuri, regardless of the background. Kama ni kumridhisha mumewe...this is an art. Any woman can be a good lover. zaidi ya hapo, sio masista du wote wanaohusudu mabitozi, on the other hand, hao wanaochezwa wanaweza kabisa ku-end up na mabitoz. Sasa kulikoni?
Ukisema hii ngoma ni kukamilisha hatua ya mabinti hao wawili kimila, mie ninakubali. Lakini kuchezwa ngoma does not necessarily make a woman/girl any better in quality. Nina marafiki wengi washachezwa ngoma, na mara baada ya kuwekwa ndani na kutoka huwa hawashikiki!