Ngoma London

Kwa kweli hiyo tittle hata nami ilikimbiza kusoma, nilijua London ngoma nje nje..(HIV/AIDS) haya watani zangu wazaramo, jongolo jangu wa diba mie mwanangu kulumangira na kisamvu......kwa kuwa ni bure siji, maana bure aghali sana

Ushi

We ushirombo we si unatoka maparachichini? Mambo ya pwani umejuaje tena? Chijui nikapige picha kwa niaba ya wakereketwa?
 
Jamaa nimempigia simu kachomoa

what a shame

I was looking forwards kwenda kwenye ile ngoma
 



we kaa tu hapo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…