Ngoma ya Shilole na Jenifer Lopez ni noma

bi dada alijua kujipa promo jmn yani alijimaliza,cjui kulikua n kuchanganyikiwa na kwenda Marekanu dah!!
 
wajamameni hebu nipunguzeni kasi mwenzenu ! natimua vumbi kila kona napiga misele kuutafuta huo wimbo wa SHishi na JLo siambulii kitu! mtu mzima navuja jasho mpaka kwenye meno hamnihurumii? tupieni basi ako ka wimbo!
 
wajamameni hebu nipunguzeni kasi mwenzenu ! natimua vumbi kila kona napiga misele kuutafuta huo wimbo wa SHishi na JLo siambulii kitu! mtu mzima navuja jasho mpaka kwenye meno hamnihurumii? tupieni basi ako ka wimbo!

Nadhani Sir Maatope atautupia muda si mrefu.
 
nasikitika kwamba nimepigwa mkwara na wadau baada ya ku post hii exclusive news, wameniambia nipunguze kiherehere, wataitambulisha wenyewe
samahanini sana great thinkers. kuweni wavumilivu tu, mtasikia wenyewe jinsi miss Ropez alivyokimbizwa na shishi babe
 
Shilole & J LO Mhhhhh labda na Mkude Simba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…