How about this society πππ
Yeah πππHa ha ha
This is European society.
Yani huyu mshkaji cjui ana utindio wa ubongo kuna vitu vingine wala c vya kuzianzishia Uzi kwa mtu mwenye akili timamu maana vipo Afrika nzima
kumbuka hiii,
Nafikiri ilitokana na nyuzi fulani ulikua ukianzisha zinazotoa elimu kuyahusu, JF yote wanakuogopa.
Nenda YouTube search zitakuja kibao,
Alafu uliomba picha ya uzinduzi nenda kaione mbona umekimbia.
Ha ha ha
This is European society.
Lete ngoma za mashetani na majini kenya..mumelemewa[emoji1787][emoji1787]
Ngoma za mashetani!!duh
Lets see itaendaje.Yani huyu mshkaji cjui ana utindio wa ubongo kuna vitu vingine wala c vya kuzianzishia Uzi kwa mtu mwenye akili timamu maana vipo Afrika nzima
ohooo kuna wale wapare wamilimani hukooo!! hujawaskia wagweno ww!!! hatari sn wale πHivi mbona huwa unahusishwa na haya madude, nyuzi zinazoyahusu huwa lazima utajwe, Wapare niwajuavyo sio wachawi.
So you night runners, preaching the good news?
Nafikiri ilitokana na nyuzi fulani ulikua ukianzisha zinazotoa elimu kuyahusu, JF yote wanakuogopa.
Hawa jamaa hufikiria kwa kutumia makwapa πππKila siku nasema MK254 ni moja ya wakenya wenye low IQ na hii inajidhihirisha kwenye post zake yaani anaongea vitu kana kwamba kenya na Tanzania kuna tofauti,tofauti ya Kenya na Tanzania ni njaa tu ambayo ipo Kenya lakini hakuna la zaidi ambalo linapatikana Tz na Kenya hakuna na viceversa...