Ng'ombe ana maziwa ila hatoi maziwa

Kama unapaata maziwa yanini ufuge ng'ombe? Naomba nisieleweke vibaya, sipo kataa ndoa.
 
kama hatoi maziwa basi tumlambe bisu tumle nyama! yani namaanisha tuuzeni nchi tugawane hela
Utaishia kupata nyama na siyo maziwa- kuchinja hakukupi maziwa kutoka kwenye ng'ombe.
 
[QUOTEla="comte, post: 50653053, member: 63279"]
Utaishia kupata nyama na siyo maziws- kuchinja hakukupi maziwa kutoka kwenye ng'ombe.
[/QUOTE]
samaleko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…