BARA BARA YA 5
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 1,174
- 835
Ndugu wafugaji wenzangu,hivi ng'ombe wa kienyeji akila na kushiba vizuri apate na maji safi ya kunywa ana uwezo wa kutoa lita ngapi??
Nawasilisha
Nawasilisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakienyeji wengi hua wanatoa lita 2 - 5.Ndugu wafugaji wenzangu,hivi ng'ombe wa kienyeji akila na kushiba vizuri apate na maji safi ya kunywa ana uwezo wa kutoa lita ngapi??
Nawasilisha
Asante..lakini sokoni maziwa yanayopendwa ni ya hawa kienyejiWakienyeji wengi hua wanatoa lita 2 - 5.
Ndo maana hua tunashauri wafugaji wafuge Chotara, yaani mixer ya kienyeji na kisasa
Wakienyeji wengi hua wanatoa lita 2 - 5.
Ndo maana hua tunashauri wafugaji wafuge Chotara, yaani mixer ya kienyeji na kisasa.
Maziwa ya kienyeji yana mafuta zaidi kuliko ya ng'ombe wa kisasa.Pia Yana ladha nzuri.Asante..lakini sokoni maziwa yanayopendwa ni ya hawa kienyeji
Kwa mkamuoHizo Lita 2-5 Ni kwa siku(asubuhi na jioni)au kwa mkamuo?
Ukiwa mjini ni hasara kuwafugaAsante..lakini sokoni maziwa yanayopendwa ni ya hawa kienyeji
Hizo 2 kwa siku 2-3Wakienyeji wengi hua wanatoa lita 2 - 5.
Ndo maana hua tunashauri wafugaji wafuge Chotara, yaani mixer ya kienyeji na kisasa
Itakuwa hawashibi vizuri kama mnawakatia majani ya ndani,mimi pia ilinitokea lakini nilivyoamua kuwachunga wanatoa hadi lita 5 kwa mkamuo.mmojaKuna ngo'mbe Chotara tumefuga home,
Kula wanakula vizuri, Pumba, Majani n.k.
Ila maziwa sasa wanatoa chini ya lita 2.5 kila mmoja, kwa mkamuo mmoja.
Tatizo sijui ni nini?
asubuh lita1 jion nusu karibu kwenye ufugajNdugu wafugaji wenzangu,hivi ng'ombe wa kienyeji akila na kushiba vizuri apate na maji safi ya kunywa ana uwezo wa kutoa lita ngapi??
Nawasilisha
Unakatisha tamaaasubuh lita1 jion nusu karibu kwenye ufugaj
Kabisa...nachoamini akila majani ya kutosha na maji safi utafikika hadi lita 5Unakatisha tamaa
tatizo wabongo atutaki kuambiwa ukwel 2mezoeya kudanganywaUnakatisha tamaa
wa kienyeji huyo!?Lita 7 jion lita 5 asbh.
Hao wanatoa vizuri sana, kama lita 2.5 kwa mkamuo maana yake wanakupa hadi 4 - 5 lita kwa siku.Kuna ngo'mbe Chotara tumefuga home,
Kula wanakula vizuri, Pumba, Majani n.k.
Ila maziwa sasa wanatoa chini ya lita 2.5 kila mmoja, kwa mkamuo mmoja.
Tatizo sijui ni nini?