Ng'ombe wa Maziwa anahitajika URGENTLY

BMW

Member
Joined
Apr 4, 2012
Posts
15
Reaction score
22
Natafuta Ng'ombe wa maziwa prefarably anayefugiwa ndani ya Pwani (Dar, Kibaha, Bagamoyo) ambaye amezoea hali ya hewa hiyo. Mwenye mimba, na asiwe mzee.

Mwenye tips anistue au abandike contacts hapa tafadhari
 
Ukikosa jaribu kwenda Ruvu Ranchi
 
Toa offer ili kina kafumu waone kama inalipa.

Ni kweli atoe ofa mana kazi ya kwenda kuchungulia mazizi ya watu si ndogo, tena aseme na breed aitakayo pamoja na umri wa mimba, capacity ya maziwa aitakayo, na idadi ya ngombe niunganishe dots...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…