Kama nitakuwa sijachelewa, kwanza kuchoka kwake inamaana katumia nguvu nyingi katika kuzaa hivyo ungempa maji ya glucose ya kutosha.
Pili kutoa kondo ungempatia maji yenye chumvi inasaidia. Kwa ndama inatakiwa umpatie maziwa ya kwanza ya mama hata kwa kumkamua mwenyewe. Muhimu zaidi mtafute mtaalamu wa mifugo.
Hivi kuna ukweli eti ng'ombe akizaa kondo likitoka akalila maziwa yanatoka kidogo sana?
Kondo limetoka nikiwa sipo sijui limekwenda wapi labda mbwa wamekula maana nina.mbwa