Kwanza nitangulize pole kwa hasara unayoipitia mkuu tatizo lako lipo hivi yawezekana kuna ovarian cyct kitaalam inaitwa nymphomania ambao ni uvimbe wa ovary yan ovary zinajaa fluids (maji maji ) na na ng'mbe anakua anazalisha kiwango kikubwa cha oestrogen homorne , na ataendelea kuonesha dalili za joto kama kawaida au kuzidisha kabisa lakin shida inakua zile ovary sababu ya uvimbe azifanyi ovulation (azitoi mayai) hivo kuperekea pamoja kuwepo kwa mbegu za kiume azizirHabari !
Ngombe wangu Wana tatizo. Kwanza walikua wanamimba wote wawili, then zlivofik miez minne - mitano zikatoka wote. Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakini kila nkiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubw wanakaribia mwaka, still ng'ombe bado wanakamuliwa.
Tatzo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa . Nimewapandisha Kama Mara nne hivi.
Asanteni
NB: Hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sahiv
Asante Sana mkuu , lakin my concern hapo Ni kua Hawa ng'ombe wanaingia heat exactly kila baada ya siku 18-20 baada ya kupandishwa . Maybe nakosea , lakni any infection temperature ingekua raised , au anakua hali chakula vizur.Kwanza nitangulize pole kwa hasara unayoipitia mkuu tatizo lako lipo hivi yawezekana kuna ovarian cyct kitaalam inaitwa nymphomania ambao ni uvimbe wa ovary yan ovary zinajaa fluids (maji maji ) na na ng'mbe anakua anazalisha kiwango kikubwa cha oestrogen homorne , na ataendelea kuonesha dalili za joto kama kawaida au kuzidisha kabisa lakin shida inakua zile ovary sababu ya uvimbe azifanyi ovulation (azitoi mayai) hivo kuperekea pamoja kuwepo kwa mbegu za kiume azizir
utubishwi kutengeneza kijusi. Tatzo hili linacorrectiwa kwa kumchoma hormone ya plostaglandins na baadae kupasua huo uvimbe
Ila pia kuna uwezekano ng'ombe wako wamekua infected kwenye kizazi kutokana na complication za arbortion kwa vijidudu mbalimbali kutokana na mabaki ya maumbile ya vijusi vya ndama au placenta ndo hua tunashauri inapotokea abortion ni vizuri irrigation (kusafishwa kizazi ) ili kuakikisha usalama kwenye hayo maeneo.
Pia kama shida ni hii wasafishwe kizazi na mimba watapata bila tabu mkuu
Tafuta dr akusaidie ama kama upo maeneo dar naweza kukusaidia.
Sema daktari akija Tena ntamwambia awachek Aya magonjwa pia . Wewe unapatikana wapi mkuu ?Kwanza nitangulize pole kwa hasara unayoipitia mkuu tatizo lako lipo hivi yawezekana kuna ovarian cyct kitaalam inaitwa nymphomania ambao ni uvimbe wa ovary yan ovary zinajaa fluids (maji maji ) na na ng'mbe anakua anazalisha kiwango kikubwa cha oestrogen homorne , na ataendelea kuonesha dalili za joto kama kawaida au kuzidisha kabisa lakin shida inakua zile ovary sababu ya uvimbe azifanyi ovulation (azitoi mayai) hivo kuperekea pamoja kuwepo kwa mbegu za kiume azizir
utubishwi kutengeneza kijusi. Tatzo hili linacorrectiwa kwa kumchoma hormone ya plostaglandins na baadae kupasua huo uvimbe
Ila pia kuna uwezekano ng'ombe wako wamekua infected kwenye kizazi kutokana na complication za arbortion kwa vijidudu mbalimbali kutokana na mabaki ya maumbile ya vijusi vya ndama au placenta ndo hua tunashauri inapotokea abortion ni vizuri irrigation (kusafishwa kizazi ) ili kuakikisha usalama kwenye hayo maeneo.
Pia kama shida ni hii wasafishwe kizazi na mimba watapata bila tabu mkuu
Tafuta dr akusaidie ama kama upo maeneo dar naweza kukusaidia.
Unapatikana wapi nduguNdio mtoto wake huyo hapo anakaribia mwezi sasaView attachment 1761756
Dar es salam maeneo y gongo la mbotoUnapatikana wapi ndugu
🔍🔎Chunguza kwa jicho la tatu, watu wabayaHabari !
Ngombe wangu Wana tatizo. Kwanza walikua wanamimba wote wawili, then zlivofik miez minne - mitano zikatoka wote. Baada ya hapo wamekua wakiingia joto lakini kila nkiwapandisha hawashiki mimba wote na ndama wao wameshakua wakubw wanakaribia mwaka, still ng'ombe bado wanakamuliwa.
Tatzo langu ni kwanini hawashiki mimba wote kila wakipandwa . Nimewapandisha Kama Mara nne hivi.
Asanteni
NB: Hao waliotoa mimba ndo hawashiki sahivi mwenzao mwingne yeye hakutoa mimba yake ni kubwa sahiv
Akimeza naylon inaishia kwenye mfumo wa chakula aiwezi kufika kwenye mfuko wa kizazi ila pia kuna njia rahisi sana za kuondoa hilo tatzo la mfukohakikisha hawajawahi kumeza nailoni, maana ng'ombe akimeza nailoni kishika mimba nj mtihani..
Sawa mkuu , vipi ndugu zangu masoko ya maziwa uko kwenu yakoje
Kirahisi VIP mkui malizia kabisaAkimeza naylon inaishia kwenye mfumo wa chakula aiwezi kufika kwenye mfuko wa kizazi ila pia kuna njia rahisi sana za kuondoa hilo tatzo la mfuko
Ukishagundua amekula mfuko mpe epsom salt ambaya unachanganya robo kwenye maji ya lita moja au chukua maji nusu lita changanya na mafuta ya kula nusu lita mpe bila shaka ataponaKirahisi VIP mkui malizia kabisa