Ngome Fc yakanusha kufungwa 6-0 na Simba

Ngome Fc yakanusha kufungwa 6-0 na Simba

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
715FA6A3-AE5A-43E7-AFEA-B39C3F6BAA6A.jpeg
Hii ndio taarifa ya Ngome Fc. Klabu hiyo imekanusha kufungwa goli 6 na wameiomba Simba Sc kuwaomba radhi.
 
Kutokukamilika kwa taarifa ndo kunahalalisha wamefungwa goli hizo? Halafu kwanini uamini wakisemacho Simba na hutaki kuamini wakisemacho Ngome?
Nami nikiandika barua kama hiyo ambayo haina muhuri halafu nikaandika tumefungwa 6 - 0 na Simba.
Utaamini ipi?
 
Inawezekana kuna kitimu kingine walichocheza nacho kina jina ilo la ngome fc!!! Kule mitaani vipo vitimu vingi vyenye majina ambayo sio rasmi na sishangai Simba kuokoteza vitimu vya mitaani uko na kucheza navyo mazoezi ili na wao waonekane wamekuwa hatari kufumania nyavu maana kwenye taarifa yao awajasema ni timu ya wapi na inacheza ligi gani, Wao wamepost in short ''Tumecheza na timu ya ngome fc leo na tumeshinda goli 6-0''
Sasa watoke mbele waseme ni timu ipi iyo na inacheza ligi gani ili Ngome wenyewe wajue sio wao waliotajwa simple and clear!
 
Inawezekana kuna kitimu kingine walichocheza nacho kina jina ilo la ngome fc!!! Kule mitaani vipo vitimu vingi vyenye majina ambayo sio rasmi na sishangai Simba kuokoteza vitimu vya mitaani uko na kucheza navyo mazoezi ili na wao waonekane wamekuwa hatari kufumania nyavu maana kwenye taarifa yao awajasema ni timu ya wapi na inacheza ligi gani, Wao wamepost in short ''Tumecheza na timu ya ngome fc leo na tumeshinda goli 6-0''
Sasa watoke mbele waseme ni timu ipi iyo na inacheza ligi gani ili Ngome wenyewe wajue sio wao waliotajwa simple and clear!
Inasemekana wamecheza na 'SUB' ya Stransit Camp ambayo inatumia jina la Ngome
 
Back
Top Bottom