Ngome Kongwe (The Picnic) ndani ya mwonekano mpya

Daa kila nikiwa Arusha lazima nianzie hapo kwanza, kama kwa sasa ni masaa 24 sitobanduka. Pia wanawahudumu wakali sana mikia ya kutisha.
Ila bata la Arusha nalo sio haba vijiwe vya kutosha watu gambe wanaanza asubuhi
Watoto wazuri kila mtaa, pub, lodge, ushwahilini napo, mama ntilie wakali kiukweli katika mikoa yenye wanawake wazuri Arusha inatisha
Binafsi nikiwa kikazi Manyara au Moshi huwa nalala Arusha
Ila wezi kiasi chake niliwahi ibiwa kisenge kama 1m ivi
 
Kama ilivyo MEridian ya dar kinondoni ni bar ya tangu miaka ya 90
 
One of the best Night club in Town, this is why I love Arusha, I'm here to stay

Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…