Ngono kinyume na maumbile

ngome1838

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2019
Posts
2,027
Reaction score
2,490
Naamini wewe unayesoma habari hii utakubaliana nami kuwa ngono kinyume na maumbile limekuwa ni jambo linaloongoza katika maongezi na ushawishi kwa kasi kubwa katika jamii yetu pasipo kujali rika kiasi kwamba katika mitandao ya kijamii, "makundi ya watsup" yameundwa kwa ajili ya ushawishi na biashara ya ngono kinyume na maumbile.

Naombeni kuuliza ni nini chanzo cha hamasa juu ya ngono kinyume na maumbile hasa kwa watu wa jinsi mbili tofauti. Nisaidieni, niambieni ukweli kwani naona hali sio nzuri 😭
 
Wote tuko kwenye jamii unachokishuhudia ndicho tunachoona na sisi, majibu yetu ni kama yako tu.
 
Unataka chanzo/sababu/vishawishi ili uweze kuleta tija gani kwa mfano? Kazi kusumbua watu tu 😂
 
Acheni wafu wazike wafuhao....kuliongelea saana hili mtawapa promo
 
mtoa mada umeahidiwa linda sema tu unazungusha zungusha tena sio na jinsia nyingine ni iyo iyo yako ukirudi utuletee mrejesho imekuwaje ilo linda la jemus delishiazi
 
Nyakati za mwisho tutaona mambo ya ajabu ajabu, hayo yote ni nguvu ya Shetani kutaka kupinga uwepo wa Mungu.... Baki njia kuu, tenda mema jiepushe na Maovu.
 
The fear of God is no longer valued anymore!! Wanadamu tumeamua kuchagua mauti na laana badala ya uzima na amani!!

Inshort the choice we made leads us to sorrow and death
Kwa hiyo kilichobaki kwa sasa ni kupambana kihekima na kimkakati katika kuishi kwetu kwa sasa ndani ya ulimwengu huu ili sisi binafsi na vizazi vyetu tusiangukie katika ubaya unaoendelea kwa sasa katika jamii yetu!!

Binafsi siwahukumu wenye hayo magroup au walioangukia katika tabia hizo lakini nachoweza kusema Mungu awarehemu na kuwageuza mioyo yao kutoka kwenye uharibifu na kumuelekea muumba wao!!
 
Mtoa mada unaonekana wewe ni mdau ndo maana umekuja huku kuanzisha uzi upate mbinu mpya na wafuasi..

Kama mtu unachukia hili tendo na si mfanyaji huwezi kuandika huu ugoro hapa.
 
Mwenye uwezo tumpishe..me nafikiri kila mtu afanye kadri ya mapendeleo yake ,kikubwa tukumbuke kuitafuta furaha usimkera jirani yako
 

Acha kukuza mambo tafadhali. Umeandika vitu vingi ambavyo havina uhalisia. Mfano umetaja kwenye maongezi ya watu! wepi hao, tena pasipo kujali hiyo rika? Umetaja mitandao ya kijamii, ipi hiyo? Hapa jf hatuungi mkono hayo mambo. Umetaja makundi ya watsup, unajiungaje kwenye hayo makundi kama huna 'interest'?

Kama unahitaji msaada kwa sababu 'hali siyo nzuri' basi uwe makini maana muda si mrefu huenda tukakupoteza.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…