Wana Jf, kuna usemi wa kingereza unaosomeka:- always women give sex to get love while men give love to get sex. Je kuna ukweli wowote. Kwa mawazo yangu naona wanawake kutokana na usemi huo ndio wamekua wakichukulia kufanya ngono kama kipimo na silaha ya kuimarisha upendo kwa wenza wao. COMMENT.
Mkizidi kuwafata wazungu lazima watawazungusha tu :biggrin:
Yap! Wengine hulaumu juu ya size ya jinsia ya mwenza wake, hukosa radha!
Hivi wewe umefunguliwa lini?
wataka kusema huwa wanajaribisha size, kwani kimekuwa kiatu hadi wajaribu-
Toka wapi?
Toka kwenye ban
Umejuaje?
Wana Jf, kuna usemi wa kingereza unaosomeka:- always women give sex to get love while men give love to get sex. Je kuna ukweli wowote. Kwa mawazo yangu naona wanawake kutokana na usemi huo ndio wamekua wakichukulia kufanya ngono kama kipimo na silaha ya kuimarisha upendo kwa wenza wao. COMMENT.
Niliona
sijawahi kufungiwa, na sitegemei hilo kutokea, utakua unakosea ukisema nilikua kwenye ban!
Wana Jf, kuna usemi wa kingereza unaosomeka:- always women give sex to get love while men give love to get sex. Je kuna ukweli wowote. Kwa mawazo yangu naona wanawake kutokana na usemi huo ndio wamekua wakichukulia kufanya ngono kama kipimo na silaha ya kuimarisha upendo kwa wenza wao. COMMENT.