Ngono kwa kupitia mdomo inasababisha Saratani

Haha faru john,umenfrahisha mkuu
 
Ila jukwaa hili la MMU kwasasa naona limepoteza hadhi yake, kutwa kucha kuwashambulia wanawake tu, ooohh wanawake wachafu, ooohh hawaoshi papuchi zao, oooh wanawake wananuka, oohhh wanawake wanagawa papuchi hovyo, oohhh wanawake vicheche, ooooh wanawake .....wanawake ....duuuhh mpaka kero!!!!chefuuu kabisa yaaani!! MwanaMMU unapomshambulia mwanamke elewa kuwa upende usipende unamshambulia na mama yako mzazi, kumbuka ulitoka kwenye papuchi, (ndio hizi hizi ambazo mleta uzi anasema hazioshwi, zinabaki na vinyamanyama vya MP ) unawashambulia shangazi zako na dada zako, usidhani unamshambulia X wako tu!! Hili jukwaa kwa hapa lilipofikia nadhani yafaa kulibadilisha jina...labda liitwe 'JUKWAA LA KUWAPONDA WANAWAKE' agggrrrhhhh...puuuuuuhh! 🙂
 
Mkuu umeandika kwa uchungu sana[emoji124] [emoji124] [emoji124] [emoji124]
 
Habar za midaa hii wakuu kama kichwa cha hbr kinavoeleza hapo[emoji115] juu naomba kujuzwa kuhusiana na huo ugonjwa
 
Huo ugonjwa unasababishwa na 'Humanpapiloma virus' hawa ni virus wanawapata wale wanaopenda kuzama chumvini!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…