Ngono maofisini

Ngono maofisini

Vituka

JF-Expert Member
Joined
Nov 9, 2011
Posts
2,266
Reaction score
1,264
Im sory to say this, mnaweza niambia hayanihusu, but kuna vitu vinatia kichefuchefu jamani! Naenda toilet ya ofisini, nasikia strange noise kama vile watu wanafanya mapenzi. Nakuwa siamini nisikiacho, nasukuma mlango nakuta umefungwa. Narudi ofisini kusubiria kidogo, ile narudi tena anatoka mwanaume choo cha kike, namuuliza we vipi huku mbona sio kwako?Anajibaraguza na kuondoka.

Nasukuma tena mlango nakuta umefungwa!Hee, mara anatoka mwanamke uso mkavuu!Hivi kweli jamani kwa nini maofisini kuna hizi tabia chafu?Kibaya zaidi wote ni wanandoa, I mean mwanaume ana mke na mwanamke ana mume!

Hii ni tabia chafu sana na ipo kwenye maofisi mengi.Haaya mambo yanafanyikaga sana kwenye vyoo vya bar, kumbe hata kwenye maofisi ya serikali yapo! Loh!Ivi kweli binadamu tumekuwa kama mbwa?Cha ajabu tena watu wasomi?

Guys leo nimekasirika sana, kibaya zaidi ni watu wazima sana kwangu I wish to talk to them niwaonye ila najua watanimind.

Its not my business but this is not good!
 
mind your business......ahahahahahaaaaaaaaaaaaa_hala hala mti na macho,
 
WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?

MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI

UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:
 
WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?

MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI

UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:

Bado unapewa vitu?
 
Waso haya wanamji wao, kama umesha waona basi haina haja kama ulivyosema ni wakubwa basi watakua wanajua kosa walofanya,na kila wakikuona wataona haya,haina haja yakuwasema,kama unavyosema haya kuhusu basi wachie wenyewe.
 
Mi nahisi kuna wanando hawatoshelezwi huko nyumbani. Sasa kama ni hivyo si uongee na mwenza wako. Mbona siku hizi kuna mpaka vitabu ambavyo mnaweza soma mkajifunza mambo mapya mazuri ktk ndoa yeni, na kilifanya tendo la ndoa kuwa exciting.
Jamani wanandoa hebu jieshimuni
 
I support you, Hii ni tabia mbaya isiyo ya kiungwana hata kidogo. Nimesikia watu kadhaa kwenye ofisi tofauti tofauti wakilalamikia hili suala. Ni vzr ndugu zangu tujiheshimu na kuwa na nidhamu na hasa kwa wanandoa, tusiwe kama kuku au mbuzi ambao popote hurukiana. Hawa hawana utashi, ni wanyama kwa maumbile na akili! Wakifanya lolote, hakuna anayeshangaa.
Sisi binadamu wenye hulka na utashi, tuwe na aibu na nyuso zenye haya, Loh!
 
sishangai kabisa hilo, tena sie ofisini kuonyesha msisitizo kuwa tunajali tumeweka na CONDOM kabisa kwenye toilets zote za wake na waume.
 
dah kazi kwelikweli....swali la kizushi hivyo vyoo vyenu ni vya kukaa au?kama vya kukaa angalau maana ninapiga picha jinsi hiyo shughuli ilivyokuwa. lakini ni tabia chafu ndo unakuta watu wanaondoka na magonjwa mengine ya ajabu ajabu ukiachilia ya ngono kutokana na hali halisi ya vyoo inavyokuwa
 
sishangai kabisa hilo, tena sie ofisini kuonyesha msisitizo kuwa tunajali tumeweka na CONDOM kabisa kwenye toilets zote za wake na waume.

Nafikiri Condom chooni ni kwa ajili ya kuwasaidia wale weny aibu ya kununua dukani. Nia ni kuwezesha watu wachukue wakazitumie waendako na si kufanya ngono vyooni.
Na hii imeleta matokea mazuri kwenye office nyingi maana condom huisha kila week inabidi kureload
 
Ndugu zangu jambo hili ni baya sana. Mungu hapendi. Nawaachieni maneno haya.
Do not fret because of evil men or be envious of those who do wrong;
for like the grass they will soon wither, like green plants they will
soon die away. Trust in the Lord and do good; dwell in the land and
enjoy safe pasture. Delight yourself in the Lord and he will give you
the desires of your heart. Commit your way to the Lord; trust in him
and he will do this: He will make your righteousness shine like the
dawn, the justice of your cause like the noonday sun.
 
Back
Top Bottom