Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Ndio dunia ilipo fikia, waache wazinzi wazidi kuwa wazinzi...
WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?
MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI
UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:
hujui kama kitu cha wizi ndo kinanoga? Acha wasuuzane nyoyo zao
Hii issue sidhani kama imetokea kweli!! Siamini, weka picha.
huyo dada hana haya jamani loh! akirudi home mkavuuuuuuuuuu
mind your business......ahahahahahaaaaaaaaaaaaa_hala hala mti na macho,
sishangai kabisa hilo, tena sie ofisini kuonyesha msisitizo kuwa tunajali tumeweka na CONDOM kabisa kwenye toilets zote za wake na waume.