mmh kwenye mabasi jaman? kbs? mh sidhan jaman.Hao wanao fanya chooni bado wanajihesimu sana mana wanafunga mlango na lock, hakuna anaye waona....Kuna wengine wanafanya kwenye ma bus na abiria wamejezana.
Dogo mara ya pili usisukume mlango, mlango hauna kosa.
In all seriousness, haya mambo ya ngono maofisini ni yanatisha sana.
Sasa hebu fikiria, mume au mkeo kaondoka nyumbani mmeagana vizuri tu. Wewe unajua mwenza wako yupo kazini anawajibika kumbe moja ya mambo anayoyafanya huko ni kuchekeana chekeana na kungonoka na watu chooni.
Halafu jioni anarudi nyumbani as if nothing has happened. Sasa wewe mwenza wake utajuaje kama mwenzio kakucheat hapo?
Hahahaaa.....ndo maana nadhani kuwa idadi kubwa ya watu wanaochitiwa huwa hata hawajui kuwa wanachitiwa. Ama kweli uaminifu ni siri ya mtu moyoni.
How to Have Sex in the Office and Not Get Caught - YouTube
vYOO VYETU HAPA OFISINI KWA KWELI NI VISAFI SANA, vile vya vilivyoko kwenye ofisi za Mangers vina eneo kubwa sana yaani kuna sehemu kama bafu na showers. Kuna kila aina ya sabuni za toilet soap na marashi, labda na weneywe wana hako kamchezo sijui.....
WASHAMBA HAO.KWANZA HUYO MWANAMKE MKE WA MTU UNASALITI NDOA YAKO KWA KUJIRAHISI HVO,CHOONI ? TENA CHOO CHA OFSINI? SASA HAPO ANAFAIDI NINI? NI MIHEMKO GANI IYO ALIYONAYO?
MIMI HATA HOTELI YA TSH SILALI
UPUUUZI MTUPU
WAPAMBE MSINIJADILI:focus:
mm nilimkutaga jamaa anapiga punyeto chooni hapa ofisini..sema nikakauka maana jamaa ni meneja wangu hapa Job!
Wewe wasema! Wengi wameshafanya na bado wengine wanafanya. Wanasema fimbo ya mbali haiui nyoka. Hasa na hizi interent na messenger za yahoo na nini sijui. Unamtumia mfanyakazi mwenzako site ya hayo mambo ya kikubwa naye anaangalia then zinawapanda mnaamua kukata kiu yenu.hata kama wana ukame kama wa wafungwa still chooni ktk eneo lako la kazi stim hazipandi!
Mi naona hao wenye ndoa zao ndio most likely kumegewa vyooni, maana wote hawana nafasi baada ya kazi...
Kama hana ndoa atakupeleka kwake au atakwambia muende nyumba ya kulala wenyeji
Im sory to say this, mnaweza niambia hayanihusu, but kuna vitu vinatia kichefuchefu jamani! Naenda toilet ya ofisini, nasikia strange noise kama vile watu wanafanya mapenzi. Nakuwa siamini nisikiacho, nasukuma mlango nakuta umefungwa. Narudi ofisini kusubiria kidogo, ile narudi tena anatoka mwanaume choo cha kike, namuuliza we vipi huku mbona sio kwako?Anajibaraguza na kuondoka.
Nasukuma tena mlango nakuta umefungwa!Hee, mara anatoka mwanamke uso mkavuu!Hivi kweli jamani kwa nini maofisini kuna hizi tabia chafu?Kibaya zaidi wote ni wanandoa, I mean mwanaume ana mke na mwanamke ana mume!
Hii ni tabia chafu sana na ipo kwenye maofisi mengi.Haaya mambo yanafanyikaga sana kwenye vyoo vya bar, kumbe hata kwenye maofisi ya serikali yapo! Loh!Ivi kweli binadamu tumekuwa kama mbwa?Cha ajabu tena watu wasomi?
Guys leo nimekasirika sana, kibaya zaidi ni watu wazima sana kwangu I wish to talk to them niwaonye ila najua watanimind.
Its not my business but this is not good!
Tena maofisi mengi makubwa tu wanaweka condoms chooni, sasa naoan wengine wanahamua kuzianzia hapo kwa majaribio. Niliingia choo cha shirika moja la hifadhi linaanza na P........... nikakuta condoms kibao.
Au huyo dada anafanya biashara?