Ngorongoro Heroes yaendelea kusuasua

Ngorongoro Heroes yaendelea kusuasua

Shadida Salum

Journalist at JamiiForums
Joined
Sep 11, 2020
Posts
69
Reaction score
105
20210220_012936.jpg

Timu ya Taifa ya Tanzania vijana umri chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes imeendelea kusuasua kwenye mashindano ya Afcon u-20 baada ya kucheza michezo miwili na kuambulia alama 1.

Baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Ghana juma lililopita, hii leo imetoka sare ya 1-1 na Gambia.

Kwa matokeo hayo Ngorongoro heroes inashika nafasi ya mwisho katika msimamo wa kundi C.

Ghana ambaye anaongoza kundi hilo ana alama 4 kama Morocco huku Gambia akiwa na alama 1 kama Tanzania .

Ngorongoro Heroes ndio timu pekee kwenye kundi hilo iliyoruhusu magoli mengi zaidi ambayo ni 5 ikifuatiwa na Gambia iliyoruhusu 2 huku Morocco na Ghana zikiwa hazijaruhusu kabisa goli.
 
Hamna timu pale ....si bora hata wana nlokuwa nasakata nao kabumbu vidudu wangechukuliwa wangefaa sana
 

Timu ya Taifa ya Tanzania vijana umri chini ya miaka 20, Ngorongoro Heroes imeendelea kusuasua kwenye mashindano ya Afcon u-20 baada ya kucheza michezo miwili na kuambulia alama 1.

Baada ya kupoteza mchezo dhidi ya Ghana juma lililopita, hii leo imetoka sare ya 1-1 na Gambia.

Kwa matokeo hayo Ngorongoro heroes inashika nafasi ya mwisho katika msimamo wa kundi C.

Ghana ambaye anaongoza kundi hilo ana alama 4 kama Morocco huku Gambia akiwa na alama 1 kama Tanzania .

Ngorongoro Heroes ndio timu pekee kwenye kundi hilo iliyoruhusu magoli mengi zaidi ambayo ni 5 ikifuatiwa na Gambia iliyoruhusu 2 huku Morocco na Ghana zikiwa hazijaruhusu kabisa goli.
Wameamka asee
 
Back
Top Bottom