Ngorongoro: Mapigano kati ya Wamasai na Wasonjo yanaendelea; Ng'ombe zaidi ya 3,000 waporwa

Ngorongoro: Mapigano kati ya Wamasai na Wasonjo yanaendelea; Ng'ombe zaidi ya 3,000 waporwa

kiplagati26

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2012
Posts
305
Reaction score
135
Mapigano yanayoendelea katika wilaya ya Ngorongoro kati ya Wamasai na Wasonjo yamefikia sehemu mbaya, chanzo kikubwa ni kuuliwa kwa kijana wa kisonjo katika kijiji cha Sonjo na hivyo kuzua mapigano makubwa sana mbaka jana tayari kabila ili la wasonjo limeingia mpakani mwa kenya na kuwapokonya wamasai na huku ngombe zaidi ya mia tano 500, Na wamasai wa Tanzania wameweza kuwapolwa ng'ombe zaidi ya 2500.

Rais kikwete alitoa mgao wa ngombe kwa jamii ya kimasai mwanzoni mwa mwaka huu na mwanzoni mwa mwezi huu wa nane 8 hata hivyo kinachosikitisha ni askari wa jeshi la polisi kuchelewa kuzuia haya mapema kwani hali hii ujitokeza kila mara, shukrani kwa kutumia chopa 2 za jeshi la polisi kutafuta ngombe kwani hali si swali kabisa.

Kabila la wasonjo ni hatari sana kwani ndio walileta madhara ya 2004 kununua silaha toka kwa wasomali na kusaidiana kuwapokonya chakula na mifungo wamasai rushwa nayo bado inajipenyeza hasa pale mauaji yanapotokea kufanywa na kabila la kisonjo please kesho ni siku ya sensa hali si shwari.

IGP Mwema shusha askari wa kutosha serikali tunaomba kuchukua hatua za haraka sana iwezekanavyo
 
Aiseee babaangu hayo si mambo yake ukitaka kumsikia Kova ni kwenye chaguzi ndogo ndogo au maandamano ya chadema, anaweza hata asijuwe kama kuna mapigano huko

ngoja nipige pafu la mbege then nipige 123 naweza mpata
 
Walitoka huko huko Tarime!

Ilikuwa karibu na Ukweli Mkuu licha sijui kama ulimaanisha, hawa jamaa hawaamini kwa Muumba, Mungu wao ni jua na kabla ya kutoweka katika mazingira tatanishi Mungu wao waliyemuamini sana akijulikana kama HAMBAGEU, Imewaacha hawa jamaa wakirithi utamaduni mbaya sana wa kuamini kuwa wao ni bora kuliko kiumbe yeyote.

Wanaamini Mungu wao atarudi siku moja na ndio itakuwa mwisho wa Dunia. Kwa wale wazee wakisonjo walioshiba imani kila uchwao wao huangalia linakotokea jua mashariki na linapoelekea magharibi pande zote mbili wakiamini ishara kubwa ya kurudi HAMBAGEU ni siku yatakapochomoza majua mawili, moja mashariki na jingine magharibi na yatawaka hivyo huku yakisogea mpaka yakutane na wakati huo binaadam watakuwa wanataabika sana kwa kiu na joto lisilo na mfano, maji atakayotoa HAMBAGEU pekee ndio yatakidhi hitajio.

Ni simulizi za kutafakari sana ukizifungamanisha na utamaduni uliojaa utukutu wa kabila hili la wasonjo waliogawanyika makundi mawili kutoka eneo la ikoma huko Serengeti mkoani mara na waliobaki huko wanajulikana kama waikoma na waliokimbilia mpakani mwa ngorongoro na serengeti katika kijiji cha Sonjo wakajiita wasonjo chini ya HAMBAGEU.

Kwa mpenda historia unaweza kumsoma HAMBAGEU zaidi katika server ya UNESCO ujionee mambo.



ADIOS
 
Ilikuwa karibu na Ukweli Mkuu licha sijui kama ulimaanisha, hawa jamaa hawaamini kwa Muumba, Mungu wao ni jua na kabla ya kutoweka katika mazingira tatanishi Mungu wao waliyemuamini sana akijulikana kama HAMBAGEU, Imewaacha hawa jamaa wakirithi utamaduni mbaya sana wa kuamini kuwa wao ni bora kuliko kiumbe yeyote.

Wanaamini Mungu wao atarudi siku moja na ndio itakuwa mwisho wa Dunia. Kwa wale wazee wakisonjo walioshiba imani kila uchwao wao huangalia linakotokea jua mashariki na linapoelekea magharibi pande zote mbili wakiamini ishara kubwa ya kurudi HAMBAGEU ni siku yatakapochomoza majua mawili, moja mashariki na jingine magharibi na yatawaka hivyo huku yakisogea mpaka yakutane na wakati huo binaadam watakuwa wanataabika sana kwa kiu na joto lisilo na mfano, maji atakayotoa HAMBAGEU pekee ndio yatakidhi hitajio.

Ni simulizi za kutafakari sana ukizifungamanisha na utamaduni uliojaa utukutu wa kabila hili la wasonjo waliogawanyika makundi mawili kutoka eneo la ikoma huko Serengeti mkoani mara na waliobaki huko wanajulikana kama waikoma na waliokimbilia mpakani mwa ngorongoro na serengeti katika kijiji cha Sonjo wakajiita wasonjo chini ya HAMBAGEU.

Kwa mpenda historia unaweza kumsoma HAMBAGEU zaidi katika server ya UNESCO ujionee mambo.



ADIOS

Hongera nimependa
sana somo lako, kweli Jf
ni class tosha......

V
SENGEREMA
 
Jukumu la utatuzi wa mgogoro huu tumpe Dr. Babu. Mchungaji Ambilikile Mwasapile yeye ana dawa ya kumaliza mizozo ya aina hii
 
kenya au tanzania?

mkuu ni tanzania kwa JK Kifupi kijiji cha sonjo kipo km 50 toka mji wa wasso ambayo ni makao makuu ya wilaya na km 10 mbele samunge kwa babu kijiji cha sonjo kimepakana na mipaka ya wilaya ya Narro kenya
 
Aiseee babaangu hayo si mambo yake ukitaka kumsikia Kova ni kwenye chaguzi ndogo ndogo au maandamano ya chadema, anaweza hata asijuwe kama kuna mapigano huko

ngoja nipige pafu la mbege then nipige 123 naweza mpata

ah ah Mkuu Rombo wanajisahau lkn uchaguzi duuu wanapewa mafunzo kwa muda miezi 4 tuu wanelekwa kuwasubu wanachadema ah ah pafu la mbege na kisusio basi usinikose
 
Jukumu la utatuzi wa mgogoro huu tumpe Dr. Babu. Mchungaji Ambilikile Mwasapile yeye ana dawa ya kumaliza mizozo ya aina hii



Babu ataweza,hata kova nill kwani hata tamuthilia ya Dr ulimboka kashindwa its better tumpe mzee mwenyewe IGP Mwema lakini hawa jamaa wasonjo ni noma yani ni waya waya wa umeme.
 
Back
Top Bottom