broken ages
JF-Expert Member
- Mar 23, 2012
- 235
- 84
WATANZANIA hatuko tayari kupaza sauti kuwatetea wachache mnaopigania kuiharibu NGORONGORO kwa faida na ubinafsi wenu bila kuyatizama maslahi mapana ya TANZANIA leo na kesho
Na badala yake tutawashaurini kuondoka ili maisha yaendelee kwanini mnatetea kuishi porini ambapo kuwepo kwenu kutasababisha wanyama waondoke? Ama ninyi siyo WATANZANIA wenzetu? Ninyi ni mamluki ama wahamiaji haramu kutoka nchi nyingine?
Na kama ni WATANZANIA mbona hamjali wala kuona faida ya kuwa na NGORONGORO yenye kustawi na kuzalisha kipato kwa ajili ya WATANZANIA wote?
Ktk kuishi kwenu ngorongoro ninyi wachache na mifugo yenu michache ukilinganisha na fedha za kigeni zipatikanazo ngorongoro kutokana na vivutio vya utalii ikiwa ni pamoja na mazingira na wanyama ni kipi chenye faida kubwa zaidi kwa WATANZANIA milioni 60?.
Mnakohamishiwa ni ndani ya mipaka ya TANZANIA na siyo nje mnahamishiwa kwenye maeneo ambako ndiko tunakoishi sisi WATANZANIA wenzenu na mmewekewa miundo mbinu mizuri ambayo ni mahitaji muhimu kwa maisha ya binadamu maji, umeme, hospitali shule na mambo mengine muhimu. Je, mnataka tupaze sauti tuseme nini kwa serikali?
Je, mnashauri nini ninyi kwamba wahame wanyama na bonde la ngorongoro nalo lihame? Kati yenu na wanyama ni nani alimfuata mwingine NGORONGORO?
Ukizingatia kwamba huwezi tofautisha Masai kutoka KENYA na TANZANIA kunao uwezekano mkubwa kwamba wamasai wa TANZANIA wamechochewa na kuhamasishwa na wenzao kutoka KENYA kufanya migomo na vurugu kwa nia ya kuchelewesha ama kuzuia zoezi la kuweka alama za mipaka NGORONGORO ambalo lilikuwa ni kwa nia ya kuendeleza na kuistawisha NGORONGORO
Kutokana pengine na faida ambazo Masai wa jirani walikuwa wanazipata kwa NGORONGORO kwa kulisha mifugo yao ama pengine kunao watu wako nyuma ya hao Masai wa Kenya kwa sababu za ushindani wa kibiashara wanatumika kuwachochea wenzao wa TANZANIA ili kuendeleza uharibifu wa mazingira ya NGORONGORO.
Tunawasihi ndugu zetu Masai wa TANZANIA kushikamana mkono na Serikali na kutoa ushirikiano ili tuitunze na tuilinde NGORONGORO kwa faida ya kizazi hiki na hata kizazi kijacho cha TANZANIA na wala wasikubali kutumika na wageni kutoka nje
Pia tunawasihi wale ambao wamekimbilia ama wamerudi kwao Kenya kwa kisingizio cha kwenda kutibiwa basi wabakie huko na wala wasije tena huku kuja kutuletea vurugu nayo Serikali iwe macho mipakani ili wasije tena kwetu kisababisha vurugu.
Na badala yake tutawashaurini kuondoka ili maisha yaendelee kwanini mnatetea kuishi porini ambapo kuwepo kwenu kutasababisha wanyama waondoke? Ama ninyi siyo WATANZANIA wenzetu? Ninyi ni mamluki ama wahamiaji haramu kutoka nchi nyingine?
Na kama ni WATANZANIA mbona hamjali wala kuona faida ya kuwa na NGORONGORO yenye kustawi na kuzalisha kipato kwa ajili ya WATANZANIA wote?
Ktk kuishi kwenu ngorongoro ninyi wachache na mifugo yenu michache ukilinganisha na fedha za kigeni zipatikanazo ngorongoro kutokana na vivutio vya utalii ikiwa ni pamoja na mazingira na wanyama ni kipi chenye faida kubwa zaidi kwa WATANZANIA milioni 60?.
Mnakohamishiwa ni ndani ya mipaka ya TANZANIA na siyo nje mnahamishiwa kwenye maeneo ambako ndiko tunakoishi sisi WATANZANIA wenzenu na mmewekewa miundo mbinu mizuri ambayo ni mahitaji muhimu kwa maisha ya binadamu maji, umeme, hospitali shule na mambo mengine muhimu. Je, mnataka tupaze sauti tuseme nini kwa serikali?
Je, mnashauri nini ninyi kwamba wahame wanyama na bonde la ngorongoro nalo lihame? Kati yenu na wanyama ni nani alimfuata mwingine NGORONGORO?
Ukizingatia kwamba huwezi tofautisha Masai kutoka KENYA na TANZANIA kunao uwezekano mkubwa kwamba wamasai wa TANZANIA wamechochewa na kuhamasishwa na wenzao kutoka KENYA kufanya migomo na vurugu kwa nia ya kuchelewesha ama kuzuia zoezi la kuweka alama za mipaka NGORONGORO ambalo lilikuwa ni kwa nia ya kuendeleza na kuistawisha NGORONGORO
Kutokana pengine na faida ambazo Masai wa jirani walikuwa wanazipata kwa NGORONGORO kwa kulisha mifugo yao ama pengine kunao watu wako nyuma ya hao Masai wa Kenya kwa sababu za ushindani wa kibiashara wanatumika kuwachochea wenzao wa TANZANIA ili kuendeleza uharibifu wa mazingira ya NGORONGORO.
Tunawasihi ndugu zetu Masai wa TANZANIA kushikamana mkono na Serikali na kutoa ushirikiano ili tuitunze na tuilinde NGORONGORO kwa faida ya kizazi hiki na hata kizazi kijacho cha TANZANIA na wala wasikubali kutumika na wageni kutoka nje
Pia tunawasihi wale ambao wamekimbilia ama wamerudi kwao Kenya kwa kisingizio cha kwenda kutibiwa basi wabakie huko na wala wasije tena huku kuja kutuletea vurugu nayo Serikali iwe macho mipakani ili wasije tena kwetu kisababisha vurugu.