Ngorongoro wanajengewa nyumba, Hanang pia wasaidiwe ujenzi wa nyumba

Ngorongoro wanajengewa nyumba, Hanang pia wasaidiwe ujenzi wa nyumba

Patriot

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2008
Posts
5,705
Reaction score
4,703
Mjadala wa siku nyingi ni juu ya pesa inayotumika kujengewa wanaohamishwa Ngorongoro. Sasa tutathibitisha mauzo ya mwarabu. Serikali haitaki kusema ni pesa ya mauzo ya Ngorongoro, ina maana ni pesa ya serikali.

Pia soma > Manyara UPDATE: Waliofariki kwa Mafuriko Wilayani Hanang wafikia 63

Kama ni kwa ajili ya kulinda mazingira ya Ngorongoro, na sasa tuna tukio la kimazingira, tunataka serikali iwajengee wananchi wa Hanang nyumba za kusihi.

Wananchi hawa wamepoteza mali na ndugu zao. Hatuiwezi kuwaacha tu na kusema wamepewa mahema. Hao hao JKT wakajenge nyumba Hanang kwa haraka. Ikiwezekana zoezi la Ngorngoro lisimamishwe.
 
Ndugu mleta mada utapewa jibu baya sana na hii serikali ya ccm.

Utajibiwa "kwani ccm ndiyo iliyoleta tope huko Hanang??"

(Nadhani unamkumbuka jiwe alivuowahibu watu wa Kagera tetemeko lilipowakumba)
 

Screenshot_20231207-111821.jpg
jibu mulua hili hapa ndugu muandishi. Mh Rais Samia Suluhu Hassan ni Rais wa wanyonge haya tumpeni maua yake.​
 
Sawa,,ngoja tuongee na Wana Oman tuone cha kuwapa nasi waone cha kutugea tufanye mambo!!Shaka Ondoa katika hilo
 
Kama ni kwa ajili ya kulinda mazingira ya Ngorongoro, na sasa tuna tukio la kimazingira, tunataka serikali iwajengee wananchi wa Hanang nyumba za kusihi.

Wananchi hawa wamepoteza mali na ndugu zao. Hatuiwezi kuwaacha tu na kusema wamepewa mahema. Hao hao JKT wakajenge nyumba.
Naunga mkono hoja, Hanang wasaidiwe kujengewa nyumba za kisasa kama Msomera.
P
 
Hakuna mtu atawajengea nyumba, hili suala likipoa ndio imetoka hiyo. Unapokuwa na wawakilishi machawa, usitegemee wananchi kupata utetezi wowote wa maana.
Mkuu Tindo , sometimes try to be positive!, too much negative is harmful!.
P
 
michango ya nje tu imeshafikia zaidi zaidi ya b3 nitashangaa sana wasipowajengea makazi ya kudumu!
 
Mkuu Tindo , sometimes try to be positive!, too much negative is harmful!.
P
Siku wakijengewa nyumba uje unitag. Ww kama mwandishi wa habari Fanya jitahada za kujua ni wangapi wamepoteza nyumba zao, acha za biashahara, Bali za makazi. Ukishajua idadi yao unitaarifu hizo nyumba wakijengewa. Zitajengwa nyumba mbili tatu, watapewa makada wawili watatu wa ccm wenye kiwango Cha juu cha kujikomba, kisha zitapigwa picha za kuja kuhadaa watu humu kwenye media, na story itaishia hapo. Huu ni uhalisia regardless ni negative au positive.
 
Siku wakijengewa nyumba uje unitag. Ww kama mwandishi wa habari Fanya jitahada za kujua ni wangapi wamepoteza nyumba zao, acha za biashahara, Bali za makazi. Ukishajua idadi yao unitaarifu hizo nyumba wakijengewa. Zitajengwa nyumba mbili tatu, watapewa makada wawili watatu wa ccm wenye kiwango Cha juu cha kujikomba, kisha zitapigwa picha za kuja kuhadaa watu humu kwenye media, na story itaishia hapo. Huu ni uhalisia regardless ni negative au positive.
Duh...!.
P
 
Mkuu Tindo , sometimes try to be positive!, too much negative is harmful!.
P
Ukiangalia historia ya serikali hii, haijawahi kusema ukweli kwa jambo lolote. Unaambiwa mazingira Ngorongoro, kumbe Mwarabu kanunua na kuwapa chochote wahusika. Unaambiwa wasaidieni wahanga wa tetemeko la ardhi kumbe wanajengea miundombinu ya serikali. Unaabiwa VP yuko na kazi maalumu kumbe mgonjwa. Kazi maalumu ipi itafanywa na VP ktk nchi nyingine? Unaambiwa JPM yuko salama, kumbe tayari ni marehemu.

Bahati mbaya sana ninuyi waandishi habari munapokutana na watu hawa, hamuul;izi kabisa maswali magumu kama haya, badala yake munauliza maswali ya kudumisha urafiki na wanasiasa.
 
Ngorongoro imegharamiwa na mmiliki wake ( mwarabu), Hannang serikali Haina Hela 😌😌😌
 
Bahati mbaya sana nyinyi waandishi habari munapokutana na watu hawa, hamuul;izi kabisa maswali magumu kama haya, badala yake munauliza maswali ya kudumisha urafiki na wanasiasa.
Just imagine wewe ni mwandishi wa habari, umekutana na PM Majaliwa, utathubutu kumuuliza kwanini alitudanganya JPM anachapa kazi wakati ukweli ni alikuwa tayari... ?
P
 
Back
Top Bottom