Ngoswe: Penzi kitovu cha uzembe..

Ngoswe: Penzi kitovu cha uzembe..

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
Je hii ilikuwa Tamthilia, hekaya ama uhalisia?
Je inaweza kuwa vyote vitatu?
Mazingira yalikuwa kijijini.. Na Ngoswe alienda huko kama afisa wa serikali kuhesabu wanakijiji kwenye zoezi la Idadi ya watu maarufu kama sensa, miaka hiyo ya sabini na ushee...
Ngoswe akazama penzini na mmojawapo wa wanyange pale kijijini hali iliyomfanya avurunde na kuvuruga zoezi zima la sensa ya kuhesabu wananchi wa eneo lile

Hakuna jipya chini ya mbingu, mambo ni yaleyale bali huja na kupotea kulingana na mahitaji ya nyakati
Miaka kumi nyuma Ngoswe mpya alitokea tena..lakini this time mazingira hayakuwa ya kijijini
Japo wanakaya walifunika kombe ili mwanaharamu apite lakini pembe la ng'ombe daima halifichiki na daima penzi ni kikohozi..huwezi kukibana
Bawasiri ni aina ya maradhi yanaweza kuitwa ya aibu. Haystacks hadharani na aliye athirika.. Lakini kadiri yanavyozifi kukaza wandewq huanza kupata fununu.. Na fununu huzaa tetesi.. Tetesi ikikoma huwa habari zilizovunjika aka breaking news.

Ya katibu kata na mwenyekiti wetu wa mtaa.. Ni bawasiri iliyomtafuna vema mwathirika.. Hasikii haambiliki na pengine hayuko tayari kwa tiba.. Ama yu muhali hoi bin taabani anahitaji msaada wa haraka sana
Ngoswe: Penzi kitovu cha uzembe!
Ni Tamthilia?
Ni hekaya?
Ni uhalisia?

Tanganyika!
 
PENZI KITOVU CHA UZEMBE

KISA CHA NGONSWE NA MAZOEA KWENYE SENSA

MITOMINGI
: nadhani sasa mgeni amekwisha kumaliza kula hebu nenda kaondoe vyombo.

MAMA MAZOEA: Basi fanya haraka (Mazoea anatoka, anaenda kwa Ngoswe alipo).

MAZOEA: Hodi! Hodi!

NGOSWE: Karibu.

MAZOEA: (Akiingia). Ahsante. Nimekuja kuchukua vyombo.

NGOSWE: Vyombo! Kaa basi mbona unasimama kama vile hakuna viti.

MAZOEA: Nimeambiwa nifanye haraka.

NGOSWE: Mmm! Haya ngoja ninawe basi (Ngoswe ananawa kwa taratibu jicho likiwa usoni mwa Mazoea ambaye anatazama kando). Hivo mzima wee?

MAZOEA: Bee!?

NGOSWE: Salama?

MAZOEA: Salama tu.

NGOSWE: Sasa ndio umekataa kukaa?

MAZOEA: (Ajidai hakusikia) Si umekwisha maliza?

NGOSWE: Bado kidogo.

MAZOEA: Basi nitakuja chukua baadaye. (Ataka kutoka)

NGOSWE
: Basi nenda navyo. (Mazoea anarudi kuinama kuvichukua. Ngoswe kwa sauti ndogo). Hivyo waitwa nani?

MAZOEA: Mie?

NGOSWE: Ndio wewe hapo kisura.

MAZOEA: (anatabasamu huku akiondoka). Mazoea!

Story ni tamu ila tulishaambiwa ya Ngoswe tumuachie Ngoswe
emoji16.png
emoji28.png
!

JIANDAE KUPIGA KURA
.
 
Je hii ilikuwa Tamthilia, hekaya ama uhalisia?
Je inaweza kuwa vyote vitatu?
Mazingira yalikuwa kijijini.. Na Ngoswe alienda huko kama afisa wa serikali kuhesabu wanakijiji kwenye zoezi la Idadi ya watu maarufu kama sensa, miaka hiyo ya sabini na ushee...
Ngoswe akazama penzini na mmojawapo wa wanyange pale kijijini hali iliyomfanya avurunde na kuvuruga zoezi zima la sensa ya kuhesabu wananchi wa eneo lile

Hakuna jipya chini ya mbingu, mambo ni yaleyale bali huja na kupotea kulingana na mahitaji ya nyakati
Miaka kumi nyuma Ngoswe mpya alitokea tena..lakini this time mazingira hayakuwa ya kijijini
Japo wanakaya walifunika kombe ili mwanaharamu apite lakini pembe la ng'ombe daima halifichiki na daima penzi ni kikohozi..huwezi kukibana
Bawasiri ni aina ya maradhi yanaweza kuitwa ya aibu. Haystacks hadharani na aliye athirika.. Lakini kadiri yanavyozifi kukaza wandewq huanza kupata fununu.. Na fununu huzaa tetesi.. Tetesi ikikoma huwa habari zilizovunjika aka breaking news.

Ya katibu kata na mwenyekiti wetu wa mtaa.. Ni bawasiri iliyomtafuna vema mwathirika.. Hasikii haambiliki na pengine hayuko tayari kwa tiba.. Ama yu muhali hoi bin taabani anahitaji msaada wa haraka sana
Ngoswe: Penzi kitovu cha uzembe!
Ni Tamthilia?
Ni hekaya?
Ni uhalisia?

Tanganyika!
kuna jamaa fulani waandamizi wa chama cha siasa walitumwa na chama chao kusimamia uchaguzi huko Nyasa..

matokeo yake waliachana na kilichowapeleka, wakakesha kunywa pombe usiku kucha. Kesho yake siku ya uchaguzi wakashindwa kabisa hata kuamka kusimamia huo uchaguzi.

Je,
huoni kwamba ni wakati muafaka sasa tunaweza kuiweka pombe badala ya ngoswe kua ndiyo hasa kitovu cha uzembe nyakati hizi?🐒
 
kuna jamaa fulani waandamizi wa chama cha siasa walitumwa na chama chao kusimamia uchaguzi huko Nyasa..

matokeo yake waliachana na kilichowapeleka, wakakesha kunywa pombe usiku kucha. Kesho yake siku ya uchaguzi wakashindwa kabisa hata kuamka kusimamia huo uchaguzi.

Je,
huoni kwamba ni wakati muafaka sasa tunaweza kuiweka pombe badala ya ngoswe kua ndiyo hasa kitovu cha uzembe nyakati hizi?🐒
Hivi hili limejibu swali kama ni Tamthilia, hekaya au uhalisia? Ngoswe!
 
Je kuna Tamthilia yake?
sidhani.
mambo yamebadilika sana,

nadhani kuna umuhimu wa kipekee sana wa kuifanya tamthilia yake na hatimae ujumbe na elimu nzito na ya maana sana iliyomo ndani ya riwaya hiyo iweze kuwafikia wengi zaidi na hatimae tahadhari za athari ya mapenzi kazini, maonyo na mafunzo yenye hisia kali, majuto na huzuni ya uzembe kazini zikiki zaidi kwenye akili za waTanzania wengi zaidi na kutuama ndani ya mioyo yao ili meishowe kazi binafsi za umma na kijamii zisiharibike kwasababu ya mapenzi 🐒
 
sidhani.
mambo yamebadilika sana,

nadhani kuna umuhimu wa kipekee sana wa kuifanya tamthilia yake na hatimae ujumbe na elimu nzito na ya maana sana iliyomo ndani ya riwaya hiyo iweze kuwafikia wengi zaidi na hatimae tahadhari za athari ya mapenzi kazini, maonyo na mafunzo yenye hisia kali, majuto na huzuni ya uzembe kazini zikiki zaidi kwenye akili za waTanzania wengi zaidi na kutuama ndani ya mioyo yao ili meishowe kazi binafsi za umma na kijamii zisiharibike kwasababu ya mapenzi 🐒
Bawasiri
 
mtunzi ni nani na inapatikanaje hiyo gentleman, ili wadau wapate kujua na kujiridhisha kwamba kuna akina Mzee Mitomingi wa aina mpya?🐒
Mwenyekiti wa kijiji FT bawasiri
 
 
kuna jamaa fulani waandamizi wa chama cha siasa walitumwa na chama chao kusimamia uchaguzi huko Nyasa..

matokeo yake waliachana na kilichowapeleka, wakakesha kunywa pombe usiku kucha. Kesho yake siku ya uchaguzi wakashindwa kabisa hata kuamka kusimamia huo uchaguzi.

Je,
huoni kwamba ni wakati muafaka sasa tunaweza kuiweka pombe badala ya ngoswe kua ndiyo hasa kitovu cha uzembe nyakati hizi?🐒
Huelewi hata kinachojadiliwa
. Una kimbelembele kama busha
 
Back
Top Bottom