Ngozi hii ina nini jamani?

iron woman

Senior Member
Joined
Apr 22, 2013
Posts
147
Reaction score
19
ni vipele visivyo na kitu ndani ila vigumu vinazidi kututumka na kusambaa vipianza kifuani shingoni sasa hadi usoni nimeenda hospital mara nyingi dawa nimetumia ila hazisaidii
msaada wenu jamani mwenye kujua dawa na kinga yake
 
Pole sana, ni ngumu kujua tatizo ni nini na huko hospitali sijui ulipewa dawa gani, ila kama hujatumia hii dawa basi tumia sasa, ni Penicillin V, Inafahamika kama PENIV, hii ni antibiotic, kama we ni kijana au mtu mzima basi kunywa vidonge viwili mara tatu kwa siku( 2×3) kwa siku kumi(10). yaani ukinya saa moja asubuhi,kunywa tena saa nane mchana, na unywe tena saa nne usiku.
 
ni vipele visivyo na kitu ndani ila vigumu vinazidi kututumka na kusambaa vipianza kifuani shingoni sasa hadi usoni nimeenda hospital mara nyingi dawa nimetumia ila hazisaidii
msaada wenu jamani mwenye kujua dawa na kinga yake

Angalie usije ukute ni chakula au mafuta umebadilisha ndo maana imekuja hayo madude penda kunywa maji sana uso utakuwa soft pia mazoezi muhimu sana
 

asante ila hosp mara ya mwisho wamenipa predinisolone na diprosalic kwaajili ya kupaka ila ndo vimefumuka zaidi na chunusi juu. nimeacha kuipaka chunus zimepungua
 
Angalie usije ukute ni chakula au mafuta umebadilisha ndo maana imekuja hayo madude penda kunywa maji sana uso utakuwa soft pia mazoezi muhimu sana

asante mkuu nitajitahidi ila mafuta sijabadilisha
 
Nenda hospitali ya "Ocean Road" kajaribu vipimo vya "Cancer".
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…