Ngozi kupauka..........

Ngozi kupauka..........

Tumia Baby care, pole kwa kukaukwa ngozi...
 
Sababu ya hali ya hewa yenye upepo sana, jua kali na pia maji ya chumvi huku kanda ya kati...
hali imekuwa si shwari kwenye ngozi yangu napauka zaidi ya maelezo, nimejaribu kutumia lotion za aina mbalimbali lakini naona zinadunda ngozi imekuwa kama gome la mti.
ni lotion moja tu niliitumia atleast ikanisaidia "Queen Elizabeth cocoa butter" ilivoisha sijabahatika kuipata tena nimeitafuta muda mrefu sasa bila mafanikio
Jf doctors help please, ni jinsi gani naweza kukarabati hii ngozi yangu???
ni mafuta gani au lotion naweza tumia ikanisaidia???
Una pepo la kupausha ngozi Mtafute Mchungaji Kakobe akuombee
 
Tumia extra virgin olive oil au coconut oil...they are best moisturizer for dry skin...
 
Sababu ya hali ya hewa yenye upepo sana, jua kali na pia maji ya chumvi huku kanda ya kati...
hali imekuwa si shwari kwenye ngozi yangu napauka zaidi ya maelezo, nimejaribu kutumia lotion za aina mbalimbali lakini naona zinadunda ngozi imekuwa kama gome la mti.
ni lotion moja tu niliitumia atleast ikanisaidia "Queen Elizabeth cocoa butter" ilivoisha sijabahatika kuipata tena nimeitafuta muda mrefu sasa bila mafanikio
Jf doctors help please, ni jinsi gani naweza kukarabati hii ngozi yangu???
ni mafuta gani au lotion naweza tumia ikanisaidia???

ka uko Dom ni-pm.
 
Back
Top Bottom