Ngozi ya makende

Waambi

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2012
Posts
737
Reaction score
81
Ngozi ya makende hutanuka sana wakati wa joto na kufanya yashuke sana chini. Wakati wa baridi hujirudi na kuwa kudogo km kawaida. Je kuna tatizo gani?
 
Ngozi ya makende hutanuka sana wakati wa joto na kufanya yashuke sana chini. Wakati wa baridi hujirudi na kuwa kudogo km kawaida. Je kuna tatizo gani?
Manii zinahitaji almost fixed temperature... Hivyo kushuka na kupanda ni katika kuhakikisha manii zinabaki kwenye constant temperature...
NB: Mimi si dackatri, ila hayo ni kwa mujibu wa bayoloji niliyoisoma nilipokuwa fom 2.
 
Uzima huo mkuu,wenzako wanalalamikia hazisimama nanilihii mwaka wa saba sasa hivi!!
 
Hahahah jamani King'asti huyu wa kujichunguza hivi huyu hata demu hana nahisi!!!! Mi sikumbuki mara ya mwisho niliangalia 'ngozi ya makende' yangu!!!!

Mkuu sipati picha kitambi unachomiliki hadi ushindwe kuona P.umbu otherwise utakuwa unafuga Boby Marley hapo down
 
Last edited by a moderator:
Ikisimama inakuwa ka nchi.6 lakini ikilala na hasa kukiwa na baridi inakuwa ndoogo mpaka nakuwa na wasiwasi! Maelezo siku hizi ni mengi wanatuchanganya!!!.
 
Ushangaa ngozi ya makende kutanuka? Na vipi ya m -----
 
Ngozi ya makende hutanuka sana wakati wa joto na kufanya yashuke sana chini. Wakati wa baridi hujirudi na kuwa kudogo km kawaida. Je kuna tatizo gani?

Korodani zinahitaji joto la centigrade 3 chini ya joto la kawaida la mwanadam yaani kwa maana hiyo ni 34 degree centigrade ili kuweza kutengeneza manii.Hivyo joto linapozidi,ngozi ile hutanuka ili kupunguza joto hivyo hivyo na kinyume chake.
 
hii topic hiiiii itazua mambo, kama majibu yamepatikana basi I declare topic closed. Makende yetu mna nini nayo???!
 
Mkuu sipati picha kitambi unachomiliki hadi ushindwe kuona P.umbu otherwise utakuwa unafuga Boby Marley hapo down

Mkuu hujanielewa...namaanisha huo muda wa kuchungulia leo limeshuka kesho limepanda..leo joto limelegea kesho baridi sijui limerudi normal..duh huo ndo sina aisee.
 
Labda anapewa feedback. Babe leo u look yummy and full. Siku zingine anaulizwa mbona tank empty?
Hahahah jamani King'asti huyu wa kujichunguza hivi huyu hata demu hana nahisi!!!! Mi sikumbuki mara ya mwisho niliangalia 'ngozi ya makende' yangu!!!!

Hehehe ninj sasa jamani?
du we mwanamke hahahahahaha
 
Last edited by a moderator:
Manii zinahitaji almost fixed temperature... Hivyo kushuka na kupanda ni katika kuhakikisha manii zinabaki kwenye constant temperature...
NB: Mimi si dackatri, ila hayo ni kwa mujibu wa bayoloji niliyoisoma nilipokuwa fom 2.

Sahihi kabisa
 
Imenifungua sana hii topik, nilikuwa sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…