Ngozi yangu

Emma M Bai

JF-Expert Member
Joined
Feb 11, 2019
Posts
223
Reaction score
126
Wanajukwaa nahitaji kuwa na ngozi laini I'm mean soft kuliko hata ya mwanamke nitumie nini Kwa njia za asili
Tofauti Na
*mafuta ya nazi
*Kunywa maji mengi
*Kula mboga za majani
Taja njia zingine ambazo ni rafiki
 
Wanajukwaa nahitaji kuwa na ngozi laini I'm mean soft kuliko hata ya mwanamke nitumie nini Kwa njia za asili
Tofauti Na
*mafuta ya nazi
*Kunywa maji mengi
*Kula mboga za majani
Taja njia zingine ambazo ni rafiki
Kupata mda mzuri wakupumzisha mwili wako
Kutojishika shika ovyo ngozi yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…