Ngozi yenye mabaka

Ngozi yenye mabaka

Joined
Sep 26, 2014
Posts
12
Reaction score
1
habari zenu wakuu...
*Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana.

*Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!?

Amani kwenu
 
Nunua vidonge vya cetakonazol na cream ya gentrisone ni dawa salama zinapatikana pharmacy
 
habari zenu wakuu...
*Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana.

*Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!?

Amani kwenu

nenda hospital doctor akaone hayo madoa yako vipi? hapa utapewa majina ya dawa kiholela.
 
Back
Top Bottom