D diaspora-mtarajiwa Member Joined Sep 26, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Sep 26, 2014 #1 habari zenu wakuu... *Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana. *Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!? Amani kwenu
habari zenu wakuu... *Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana. *Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!? Amani kwenu
Edwin171 JF-Expert Member Joined Aug 10, 2014 Posts 451 Reaction score 553 Sep 27, 2014 #2 Nunua vidonge vya cetakonazol na cream ya gentrisone ni dawa salama zinapatikana pharmacy
D diaspora-mtarajiwa Member Joined Sep 26, 2014 Posts 12 Reaction score 1 Sep 27, 2014 Thread starter #3 Edwin171 said: Nunua vidonge vya cetakonazol na cream ya gentrisone ni dawa salama zinapatikana pharmacy Click to expand... asante mdau,ntafuatilia ushauri wako Dr.
Edwin171 said: Nunua vidonge vya cetakonazol na cream ya gentrisone ni dawa salama zinapatikana pharmacy Click to expand... asante mdau,ntafuatilia ushauri wako Dr.
A Ariels Member Joined Sep 19, 2014 Posts 21 Reaction score 4 Oct 2, 2014 #4 Nenda pharmacy ununue no scars itakusaidia.
mutant gene JF-Expert Member Joined May 18, 2014 Posts 876 Reaction score 326 Oct 3, 2014 #5 diaspora-mtarajiwa said: habari zenu wakuu... *Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana. *Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!? Amani kwenu Click to expand... nenda hospital doctor akaone hayo madoa yako vipi? hapa utapewa majina ya dawa kiholela.
diaspora-mtarajiwa said: habari zenu wakuu... *Naombeni msaada ngozi yangu ina mabakamabaka nahisi ni kutokana kupigwa na jua sana. *Je ni njia gani naweza kuyatoa au cream gani nitumie.!? Amani kwenu Click to expand... nenda hospital doctor akaone hayo madoa yako vipi? hapa utapewa majina ya dawa kiholela.