Ngúgí Wa Thiong'o awahutubia Wahispania kwa lugha ya Gíkúyú baada ya Rais wa Cataluña kumtunuku tuzo la Premi Internacional Catalunya

Wewe you just mental redemption,if u have ever attended a psychology class it just shows you are a person mwenye umelelewa Kwa chuki such that you cannot appreciate the success of other people
Umeshindwa kujenga hoja badala yake umeamua kukimbilia katka Personal attacks sio?[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Hiii kisukuma inasound kiluhyia/kikisii but wanazungumza haraka kama kikisii

Yeah Wasukuma wanaendana sana na Waluhya hata kwenye aina ya vyakula kama ugali, ila Wanyambo na Wahaya ndio wana undugu kabisa na Waluhya, kama unafahamu Kiluhya ni vigumu sana Mnyambo wa Tanzania akuseme kwa kilugha bila wewe kumshtukia, utaelewa kama 60% ya kila anachokisema, nilishangaa sana hii maana mimi nakifahamu Kiluhya haswa Kinyole, sasa kuna Wanyambo walikua wakianza kuongea kilugha najikuta nikiwaelewa vizuri sana.
 
Sio Mkenya kweli huyo Ngugi? upuuzi wa kubaguana na kuchinjana kwao wanahamishia kwa wengine hovyo sana Kenya
Kwahivyo mhispania akizungumza kwa kihispania huwa anaendeleza ubaguzi? Hizi akili bana ni kama za sokwe.
 
Kwahivyo mhispania akizungumza kwa kihispania huwa anaendeleza ubaguzi? Hizi akili bana ni kama za sokwe.
Tulia dawa ikuingie, lazima mikutano ya hadhara ya kitaifa itumike lugha ya Taifa husika inayoeleweka kwa watu wengi, Hispania lugha yao ya Taifa ni Kihispania, utasemaje wanaendeleza ukabila?, wacha kutapatapa, lazima mkubali kwamba Kenya kuna tatizo la ukabila na matumizi ya lugha zenu katika mikutano ya hadhara na katika vyombo vya habari vinachangia sana kuendeleza ukabila
 
Miafrika bana.Pambaneni na umasikini. Kuzungumza mijilugha yenu hautawboreshea maisha wala kufuta colonial legacy.Focus kwenye mambo ya msingi
Huu ni utumwa, ulitegemea Ngúgí ahutubie wahispania kwa kiingereza, kwenye hafla ambayo ilikuwa ya kumtunukia tuzo kwa kuzienzi tamaduni na lugha za kiafrika?
 
Huu ni utumwa, ulitegemea Ngúgí ahutubie wahispania kwa kiingereza, kwenye hafla ambayo ilikuwa ya kumtunukia tuzo kwa kuzienzi tamaduni na lugha za kiafrika?
Zaidi ya Kikuyu ameshaandika kwa kutumia lugha zipi za hapo Kenya?, lazima mkubali kwamba katika hilo wakenya mnakosea sana na mnapaswa kujifunza toka Tanzania, sio kwamba hatuna makabila au hatujui kuzungumza lugha zetu za asili, lakini tunajua kwa kufanya hivyo tutaanza kujitenga katika makundi ya kikabila.
 
Huu ni utumwa, ulitegemea Ngúgí ahutubie wahispania kwa kiingereza, kwenye hafla ambayo ilikuwa ya kumtunukia tuzo kwa kuzienzi tamaduni na lugha za kiafrika?
Aanze kabisa na kuvaa ngozi ili aepuke utumwa kabisa
 
Mbona mnatishana huko kwa kilugha

Aisee mbona hii video ya mtakatifu wanaipita na kuipuuza utadhani kwamba hawaioni? [emoji38] Au wanaogopa kutupwa selo na kupigwa virungu na wasiojulikana? 😁
 
ukiskiza reasoning ya watanzania hapa JF unashindwa kuamini.
what about those in the villages without education ?
[emoji1][emoji1][emoji1] Hawa wa hapa ndio wa matawi ya juu. Mungu saidia.
 
great lake Bantus,
Jamii ya Loogoli ni wakisii,wakuria,wazanaki(Nyerere tribe),wamaragoli,waNyore,Tiriki,Simbiti,Ikoma,
Hawa lugha zao ni 80% same especially kisii-kuria-maragoli
 
Asante kwa habari hii. Tupende lugha zetu.
 
Tutaendelea kutukuza kabila zetu. Wewe endelea kulia.
 
Niandikie I will marry when I want kwa kikuyu tagadhali
 
Miafrika bana.

Pambaneni na umasikini. Kuzungumza mijilugha yenu hautawboreshea maisha wala kufuta colonial legacy.

Focus kwenye mambo ya msingi

Wewe utakuwa ni mjinga wa kwanza. Mtu kuzungumza lugha yake ya asili ni jambo la kujitambua. Hayo unayoita makabila ndiyo utambulisho wetu wa asili na sote tunaojitambua hatuwezi kuyatupa.

Hizo nchi za Afrika zilitengenezwa na Wazungu na hamna ufahari wowote kujiita mzalendo wa nchi iliyoundwa na Mzungu.

Wewe kama hupendi kabila lako baki na ujinga wako.
 
Tribalism shall never end in Kenyaland.
Hamna shida ya Mkikuyu kuongea lugha yake. Angeongea lugha nyingine angeonesha kuwa yeye ni mtumwa.

Nchi kama Tanzania na Kenya ni matokeo ya ukoloni na hamna mtu anayejitambua atayetupa kabila lake kwa identity ya mzungu.

Tukumbuke kuwa hata Kiswahili ni matokeo ya biashara ya utumwa na hamna ufahari wowote katika lugha hiyo.
 
Kitu chochote kinacholeta matatizo katika jamii au kuwafanya watu watengane, wachukiane na kupigana ni kitu kibaya bila kujali nani amekileta.

Ukabila ni chimbuko letu waafrika, lakini katika nchi nyingi, ukabila umekua ndio chanzo cha mifarakano na mapigano, dini zimeletwa na wageni, lakini kuna baadhi ya nchi dini zimekua chanzo cha mifarakono na mapigano.

Pale ambapo makabila hayana athari mbaya kama Tanzania, sio vibaya kuendekeza na kutanguliza makabila, lakini kwa nchi kama Rwanda na Kenya, ni hatari sana kuachia ukabila kuzagaa mitaani kwasababu ni sawa na kumwaga Petrol katika nyasi kavu, lazima yatalipuka.
 
Ngahika(I Will Marry) Ndeenda(When I Want). Alafu kitabu hicho sio cha riwaya ni tamthilia moja kali sana. Cover ya version ya kwanza ya kitabu hicho. kwa kikikuyu, ndio hii hapa.
Endeleeni kuendekeza huu ujinga matokeo yake ni haya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…