DOKEZO Ngulelo, Arusha: Majambazi wanavunja mchana kweupe

DOKEZO Ngulelo, Arusha: Majambazi wanavunja mchana kweupe

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Tajiri Tanzanite

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2016
Posts
2,536
Reaction score
4,621
Hapo vip!

Kipindi hichi imekuwa ni kipindi hatari sana kuliko nyakati zote. Kipindi hichi jambazi anakamatwa asubuhi, jioni yupo kitaa.

Hapa Ngulelo Arusha, majambazi wamekuwa ni kero, wanavunja vunja maduka wa wafanyabiashara, kwa siku wanaweza kuvuja hata maduka manne pasipo kumuogopa mtu.

Juzi wamevunja maduka maeneo ya njia ya ng'ombe bila woga. Nimesikia pia maeneo ya Ngulelo, wamevunja maeneo kadha wa kadha.

Kama mwananchi wa kawaida nina imani na jeshi la police na wakiamua wanaweza sana tu, ila sijajua changamota ipo wapi kwa sasa.
 
Hapo vip!

Kipindi hichi imekuwa ni kipindi hatari sana kuliko nyakati zote. Kipindi hichi jambazi anakamatwa asubuhi, jioni yupo kitaa...
Criminals are very bright when you contain them from one angle they storm through a different route not identified to be potential security threats. They have got an alternate strategic plan to accomplish the illegal mission as they live through the malpractice. So, do not relax
 
Criminals are very bright when you contain them from one angle they storm through a different route not identified to be potential security threats. They have got an alternate strategic plan to accomplish the illegal mission as they live through the malpractice. So, do not relax
This is a challenge to our police,to came up with new strategies to address that problem.
 
What makes u laugh....matatizo ya wengine yanakuchekesha? Too bad.....
Watu lazima wacheke kwani matatizo makubwa kama haya serikali na baadhi ya wananchi wasio na uelewa mpana wanatumia njia za mkato kujaribu kupambana nayo. Hapa tulibishna sana na wajing waliokuwa wanasema kupiga risasi na kuua ndiyo njia sahihi ya kupambana na panya road.
 
Hakikisha una gun au hata upinde na mishale na rungu na sime ndani
 
Hapo vip!

Kipindi hichi imekuwa ni kipindi hatari sana kuliko nyakati zote. Kipindi hichi jambazi anakamatwa asubuhi, jioni yupo kitaa.

Hapa Ngulelo Arusha, majambazi wamekuwa ni kero, wanavunja vunja maduka wa wafanyabiashara, kwa siku wanaweza kuvuja hata maduka manne pasipo kumuogopa mtu.

Juzi wamevunja maduka maeneo ya njia ya ng'ombe bila woga. Nimesikia pia maeneo ya Ngulelo, wamevunja maeneo kadha wa kadha.

Kama mwananchi wa kawaida nina imani na jeshi la police na wakiamua wanaweza sana tu, ila sijajua changamota ipo wapi kwa sasa.
Nimeishi Arusha zaidi ya miaka mitano sasa, mimi Kuna sehemu nyingi sana hasa uswazi uswazi sijawahi kufika . Kuna bomu la uhalifu limeanza kulipuka na tusiombee iwe Kama Ile Arusha ya Miaka Ile haipiti mwezi bila kusikia habari mbaya za tukio au matukio ya uhalifu mkubwa. Arusha vijana Wana usela nya sana , mabange halafu hawana shunguli za kufanya. Unga limited sijawahi kushuka nje ya gari, Ngulee ndio hiyo , daraja mbili , matejoo yaani
 
Back
Top Bottom