Ngumi: All the best Mwakinyo, namtabiria kufika mbali

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Bondia kutoka nchini Ufilipino Arnel Tinampay amewasili nchini Tanzania akiwa na daktari wake pamoja na mpishi wake tayari kwa ajili ya pambano litakolopigwa Novemba 29 mwaka huu katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es salaam.

 
Basi huyu mfilipino hana akili yaani aliyemuona muhimu kuja nae ni daktari na mpishi tu akamuacha trainer?
 
All the best Mwakinyo, hawakawii kusema USHINDI wako ni kwa sababu ya JPM
 
Obviously mwakinyo atashinda Hugo jamaa no was kiwango cha chini sana ukipitia rekondi zake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…