Binafsi nachukulia vurugu na ndondi zinazoendelea kwenye Chaguzi za Ndani za Chadema kama Ukomavu wa Demokrasia ya Watu kukataa kuburuzwa
Na hiyo ni dalili njema kwa chama cha Upinzani Duniani kote
Vyama vingine bado vimejikita kwenye Siasa za Maneno mengi Matendo sifuri ndio vimegeuka kuwa Kusanyiko la CHAWA
Enzi za TANU nasi tukiwa TYL ilikuwa hakunaga kudanganyana wala kuleteana upuuzi yaani ukijichanganya tu unapata mkong'oto wa kutosha
Chadema endeleeni hivyo hivyo kama Wafuasi wa Trump ππ