Ngumu kuipiku Kaskazini - Kusini, Visiwan tuwe wapole!

Ngumu kuipiku Kaskazini - Kusini, Visiwan tuwe wapole!

M24 Headquarters-Kigali

JF-Expert Member
Joined
Jul 9, 2012
Posts
8,199
Reaction score
8,186
1. Kaskazini walipata Elimu, exposure na Imani mapema sana. Sisi Visiwani tukiwa tunazaliana bila Mpango na kudharau Elimu dunia

Eg. Northern tourism circuit -Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro, Tarangire ndo zinaongoza kuingiza pato kiutalii

Tanzanite inatoka Kaskazin pia

2. Nipo Kaskazini toka tarehe 22.12.2024 hawa ndugu zetu wamewekeza kwao tofauti na Pwani, Kusini na Visiwani.

Mwenyekiti Mbowe, Mitano tena

BCc: Royal family
 
1. Kaskazini walipata Elimu, exposure na Imani mapema sana. Sisi Visiwani tukiwa tunazaliana bila Mpango.

2. Nipo Kaskazini toka tarehe 22.12.2024 hawa ndugu zetu wameweka kwao tofauti na Pwani, Kusini na Visiwani.
Idadi ya watu ni muhimu kwa maendeleo sana.....China wameweza kutumia idadi hiyo kimaendeleo....

BTW ni lini idadi ya watu visiwani imekuwa kubwa sana....kwani ARCHIVES zinaonesha sensa ya 2012 walikuwa chini ya milioni 1....hii ya 2022 imekuwa 1.9....doubling the data within a short period of time.....

Ni kuzaliana kwao kulikowaongezea idadi hiyo ama ni SISI wa kutoka huku bara ikiwemo hao wa KASKAZINI ?!!

#Nchi Kwanza!
 
1. Kaskazini walipata Elimu, exposure na Imani mapema sana. Sisi Visiwani tukiwa tunazaliana bila Mpango na kudharau Elimu dunia

2. Nipo Kaskazini toka tarehe 22.12.2024 hawa ndugu zetu wameweka kwao tofauti na Pwani, Kusini na Visiwani.

Mwenyekiti Mbowe, Mitano tena
Hakika Mwenyekiti Mbowe mitano tena
 
1. Kaskazini walipata Elimu, exposure na Imani mapema sana. Sisi Visiwani tukiwa tunazaliana bila Mpango na kudharau Elimu dunia

Eg. Northern tourism circuit -Kilimanjaro, Serengeti, Ngorongoro, Tarangire ndo zinaongoza kuingiza pato kiutalii.

2. Nipo Kaskazini toka tarehe 22.12.2024 hawa ndugu zetu wamewekeza kwao tofauti na Pwani, Kusini na Visiwani.

Mwenyekiti Mbowe, Mitano tena
Visiwani itoe kaka.. Zanzibar ni next level kabisa kwa 3ast afrika hii
 
Bro unaongea kwa mihemko au unaongea kwa data?
Utalii Zanzibar ni mkubwa sana acha masihara wewe!
Hata international Flight Zanzibar ni kubwa kuliko huko Kilimanjaro!
Wanaingiza kiasi gani kuzidi Serengeti, Mlima Kilimanjaro na Ngorongoro?

Kuwa busy sio hoja sio wote ni watalii kumbuka Zanzibar ni nchi.
 
Back
Top Bottom