blackstone
Senior Member
- Aug 11, 2015
- 147
- 128
Habari wakuu
Clouds ni moja ya kituo cha tv kinachopendwa na watu hususani vijana kwa muda mrefu sana imekuwa na mpangilio usioeleweka hususani vipindi vya live(mubashara)
wakitangaza itaanza saa 2usiku inaanza saa 5usiku mfano jana miss tanzania.Ushauri kwa clouds jitahidini kuwa na mpangilio mzuri katika maswala ya live na hata vipindi vianze kwa muda na muongeze ubunifu wenu bado jamii haijapata kile walichokitarajia kutoka kwenu ukilinganisha na ubora wa vipindi vya redio yenu na ubunifu usioisha kila siku,
Joseph kusaga ongeza uwekezaji kwenye television yenu katika mfumo wa studio bora zaidi vipindi vingi zaidi vipya katika television industry kwani tv industry bongo bado ina gap sana upande wa creativity au unaweza ukachukua vijana wengine wapya wenye idea mpya katika management ya tv yako na creative unit,kwani nguvu nyingi mnaelekeza sana clouds fm na kuisahau hii platform yenu nyingine...
Licha ya yote niwapongeze kwa baadhi ya vipindi kama Clouds 360 binafsi kinanifurahisha kwani kilileta mapinduzi katika vipindi vya asubuhi..
Nawasilisha.....
Clouds ni moja ya kituo cha tv kinachopendwa na watu hususani vijana kwa muda mrefu sana imekuwa na mpangilio usioeleweka hususani vipindi vya live(mubashara)
wakitangaza itaanza saa 2usiku inaanza saa 5usiku mfano jana miss tanzania.Ushauri kwa clouds jitahidini kuwa na mpangilio mzuri katika maswala ya live na hata vipindi vianze kwa muda na muongeze ubunifu wenu bado jamii haijapata kile walichokitarajia kutoka kwenu ukilinganisha na ubora wa vipindi vya redio yenu na ubunifu usioisha kila siku,
Joseph kusaga ongeza uwekezaji kwenye television yenu katika mfumo wa studio bora zaidi vipindi vingi zaidi vipya katika television industry kwani tv industry bongo bado ina gap sana upande wa creativity au unaweza ukachukua vijana wengine wapya wenye idea mpya katika management ya tv yako na creative unit,kwani nguvu nyingi mnaelekeza sana clouds fm na kuisahau hii platform yenu nyingine...
Licha ya yote niwapongeze kwa baadhi ya vipindi kama Clouds 360 binafsi kinanifurahisha kwani kilileta mapinduzi katika vipindi vya asubuhi..
Nawasilisha.....