NGUMU KUMEZA

Ambiele Kiviele

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2014
Posts
15,267
Reaction score
29,917
NGUMU KUMEZA HII!!!!!!!!!!!!


***********************

Hivi, Kazi ya chupi ni nini?
Ukivaa haijulikani, usipovaa haijulikani. Ikionekana unaambiwa umekaa uchi, ukiwa uchi utasikia hajavaa chupi.
Sasa Chupi ni ya nini?

Naomba mnijibu
 
Chupi hazina maana
Utakuta kachupi ka Mia tano,
Kanakuletea masimango ajabu
Ikinasa Ikweta naambiwa KIPWITO.
Nyeupe Ikichafuka
Nikianika naambiwa najidharirisha kamba zipo uwani
Njiani.
Nikianika ndani Dr. Anasema
Fangasi.
Nikinunua nyeusi eti "mchafu"
Ikitatuka pembeni nasingiziwa "CHUPI LAKO LIMETOBOKA KATIKATI"
 
Sawa, basi na tusivae chupi, kwanza sio desturi yetu sisi wabantu halafu pia zinavunja ndoa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…