Nguo na Mitindo ya Zamani ambayo kwa sasa ukivaa ni kituko

Nguo na Mitindo ya Zamani ambayo kwa sasa ukivaa ni kituko

Shati la ndege, moro shoes, tinabuu, dontach (don't touch), asante mchaga kiatu, safari boot na viatu vya mataili ya gari
 
Kulikuwa na mafuta fulani hivi ya kwenye mkebe, yalikuwa yanaitwa YOLANDA Ulikuwa ukijipaka unanukia wiki nzima...kwa wa2 wakawaida waliwa wanajipaka Ashes, Ashanti au Rays. Daah long kweli!
 
Back
Top Bottom