Reginald Mongi
Member
- Jan 27, 2013
- 36
- 7
Ninafanya utafiti kwa hiyo naomba mfano nakumbuka travolta, viatu vya raizon, eh nyingine.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
zile chupi za VIP zilizokuwa zikikatika ktkt bila kutarajia!!
viatu mwisho saa sita
umeshahau medimedi sketi ya kike mafuta ya mamujeeKulikuwa na mafuta fulani hivi ya kwenye mkebe, yalikuwa yanaitwa YOLANDA Ulikuwa ukijipaka unanukia wiki nzima...kwa wa2 wakawaida waliwa wanajipaka Ashes, Ashanti au Rays. Daah long kweli!