Reginald Mongi
Member
- Jan 27, 2013
- 36
- 7
zile chupi za VIP zilizokuwa zikikatika ktkt bila kutarajia!!
viatu mwisho saa sita
umeshahau medimedi sketi ya kike mafuta ya mamujeeKulikuwa na mafuta fulani hivi ya kwenye mkebe, yalikuwa yanaitwa YOLANDA Ulikuwa ukijipaka unanukia wiki nzima...kwa wa2 wakawaida waliwa wanajipaka Ashes, Ashanti au Rays. Daah long kweli!