HELALeo wadau wangu wa JF nimebaki na kupigwa butwaa baada ya kusikia principal akisema wanaume chuoni tunavaa nguo za kuvutia wanawake mmh sasa hata sielewi hizo ni nguo za aina gani.
[emoji23] Kama mdau wangu unazijua hizo nguo naomba niambie hapo chini [emoji1484][emoji1484] niwaelimishe na washkaji zangu.
Hii ni travota au skuna?
HaahaKwaivo bado mko paredi unasubiri majibu au
Mwanamke anavutia akiwa hajavaa nguo tuLeo wadau wangu wa JF nimebaki na kupigwa butwaa baada ya kusikia principal akisema wanaume chuoni tunavaa nguo za kuvutia wanawake mmh sasa hata sielewi hizo ni nguo za aina gani.
[emoji23] Kama mdau wangu unazijua hizo nguo naomba niambie hapo chini [emoji1484][emoji1484] niwaelimishe na washkaji zangu.