Nguo za mitumba na viatu

shamp

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2017
Posts
225
Reaction score
215
Wakuu mimi nawaza kuanzisha biashara ya nguo za wanaume pamoja na viatu baada ya hili janga la Corona kuisha sasa naomba kwa wale waliopo dar wanipe connection ni maeneo gani hapo dar naweza pata izi nguo za mitumba na bei zake ni sh.ngapi pia kwa natshet ya manga yenye Cora na yasiyo na cora bei ni ngap

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Karume ilala
Zala Na Nga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…